Nafikiri ujinga wa kwanza ni wewe mwenyewe kutokujua nilichoandika,tena sio ujinga inawezekana ukawa mpumbavu, nimesema Mao ndie kajenga misingi ya China,huyo mwingine kafungua nchi kipindi watu wana mindset ya nchi kwanza kutoka kwa Mao,kama nimeandika ujinga kwanini Mao bado anaendelea...
Mkuu huu mtandao umekuwa wa Kisenge sana,kuna watu wana majina makubwa humu ila ukisoma comment zao kwenye mambo ya msingi kuhusu nchi au Historia yetu unabaki kushika kichwa tu,
Kwa mfano Nyerere aliandika Kitabu cha Tanu Na Raia kuwakumbusha viongozi juu ya wajibu wao katika Taifa hili...
Hii mada ndio nimeamini kweli hii nchi watu uwezo wa kufikiri ni mdogo sana,huyo Mzungu ni Mpumbavu kama wanaomuunga mkono walivyo Wapumbavu zaidi yake,
Unapomzungumzia Nyerere lazima Akili itulie sio anaropoka ropoka kama kuna kitu kimeingia sehemu za Siri,
Swali la kwanza la kujiuliza kama...
Wewe ni mpumbavu,siku moja jaribu kutoka nje ya hii nchi ukaone jinsi watu walivyomakini na suala la uraia,huwezi kupewa uraia kwa mambo ya Kisenge kama hayo na ww unakuja humu kuandika huu Upuuzi,unapo mpa mtu uraia sababu ya mpira unapaswa ujiulize siku akipata ajali au kiwango chake kikishuka...
Mkuu hii sio habari ya kufumbiwa macho kabisa na watu wetu wa Usalama,leo hii sisi ambao tunanufaika kwa kuwa karibu na wachina huku tukijiona tumefanikiwa kuliko wanaotuzunguka kwenye jamii zetu muda sio mrefu hata sisi wanufaikaji wa vi misaada hivi tutaona uhalisia na matokeo ya huu Upumbavu...
Mkuu kwanza nakupa hongera,pili embu shusha Madini hayo,Uzi wako umekuja wakati muafaka kwa kuwa ndio tunaanza mwaka 2025 naimani wapo Vijana watajifunza kitu hapa kuhusu Maisha na jinsi gani Vijana wa Tanzania miaka ya nyuma walivyokuwa ma Mafia katika kutafuta maisha nje ya nchi,Stori za namna...
Ukikaa na Wakenya,Wanyarwanda na Wanaijeria wanasema katika Afrika hakuna Vijana wapumbavu na wasiokuwa na Akili km Watanzania,mfano wake ndio huu.
Hapo anaandika huu upumbavu ndio kamaliza Chuo, anataka wasomaji wajifunze alichokifanya au tuchangie alichokifanya ili tuanze kucheka cheka...
Wewe Mzee kumbe hamnazo,makamu analindwa na watu wa Mfumo,lakini pia Raisi analindwa na watu wa Mfumo muda wote,kwa Akili zako Kisoda unataka kuaminisha watu Magu alikwenda kumbaka makamu wake akiwa Uchi kweli?
Licha ya changamoto zake Magu hawezi akafanya mambo ya kitoto namna hiyo, kwenye...
Embu tuelezee ushiriki wa Kanali Ali Mahfuodh katika Mapinduzi hayo,kwanini alikwenda Cuba kupata mafunzo makali na kukubali kuumia tena kwa hiari yake mwenyewe wakati Zanzibar kulikuwa na Raha na hakukuwa na ubaguzi au udharimu wa hao masultani?
Mzee embu muogope Mungu wako,kwa hiyo unataka kutuambia kati yako wewe uliyehadithiwa kuhusu Mapinduzi na Wazanzibar wenyewe wakiongozwa na Abdulhaman Babu chini ya Umma party walioshiriki Mapinduzi nani ni mkweli katika Usahihi wa kufanya Mapinduzi hayo?
Mkuu nikupe hongera, unajitahidi sana kuleta taarifa/habari za Fursa mara kwa mara ila wachangiaji sio wengi,usichoke tupo tunaosoma na kujifunza kitu kipya kupitia bandiko zako,,wewe ni kwangu ni sawa na vyanzo kama Bloomberg, Financial Times au hata CNBC Make It
Mkuu,nimebahatika kusafiri kama wewe,rafiki zangu wajerumani wanatoka mji wa Spaichngen karibu na Tuttlingen pale.
Katika kusafiri kwangu nje ya Africa na nchi za Africa kama South Africa, Botswana, Namibia, Zimbabwe,Angola na nyingine nilikuja kugundua hakuna nchi nyepesi kutoboa kama...
Muda mwin
Muda mwingine tunatamani kutoa fursa za elimu ya haya mambo ili watu watakaoweza wabadili maisha yao ila tunashindwa sababu ya upumbavu wa wajuaji humu jukwaani,wamarekani wanafufua reli ya Lobito na ikiwezekana wanataka waje mpaka Dar,wachina wameshachukua reli ya Tazara lengo ni...
Hakuna Mahali niliposema nchi nzima watu wachimbe Madini,Acha kukurupuka mkuu,soma vizuri nilichoandika,kama kichwa chako hakielewi uliza,nilichozungumzia ni hiki kilichopatikana kwa Msigwa kilipaswa kiwe kitu cha kawaida tu kutokana na rasilimali tulizokuwa nazo,pili sijasema Uchimbaji ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.