Hapo kwenye kipengele cha thread yako no 17, umesema waliokua wakiishi kwenye hiyo nchi ni wa-Canaan sasa hilo Taifa la Israel limepata wapi haki ya kuishi kwenye eneo (nchi) ambalo sio lao?
Indigenous Palestinian ndio hao wa-Canan na Baadhi ya makabila Mengine ambao ndio wewe unawaita...
…..Time travel ni topic kubwa kidogo kwako, sio kitu cha kueleweka na kila mtu, vichwa vyetu wengi vimejizuia kuwaza vizuri kwa sababu ya mazingira tuliyokulia.
Kwa uwezo wako leo tambua tu kuwa leo Time travel nadharia kwa wengi lakini kesho itakuwa kitu halisi kabisa. Miaka 500 iliyopita...
Umesema vyema mkuu, kila mtu ana namna yake ya kuswali sasa wao waislam hiyo ndio namna yao ya ibada, wanahitaji nyumba ya ibada hivyo wapewe nafasi hiyo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Maridhiano ya posa au ? Be positive. Sio kila kitu ni kubisha tu. Pro John Alifuata nini TZ kama kampuni yao haina makosa? Angebakia hukohuko Canada kama ana jeuri. Hivi barick wasipolipa wewe unafaidika nini labda? Sio kila kitu ni siasa.
Afadhali ZZK kuliko mwenyekiti wenu aliyemchafua Mtu kwa miaka mingi alafu baadae anaturudia kuwa yule mtu ni msafi tumpe kura za urais. Kuna unafiki zaidi ya huo.?
Ndugu msikilize Mama mpaka mwisho, anasema masuala ya kichama atafanya kwenye kila ofisi ya chama husika. Mlitaka akatae kuwatumikia waTZ ili iweje? Au mlitaka akae upande wa kulalamika na kulaumu kila siku kama nyie?
Lini atalitumikia Taifa?
Acheni siasa katika kila kitu. Maisha lazima...
Alichora bure hiyo nembo?
Hana watoto na ndugu?
Aliahidiwa kutunzwa mpaka kufa?
Alikatazwa kuendelea na sanaa yake baada ku-design hiyo nembo?
Maisha sio kwa wasiopambana nayo, sio kila kitu ni kulaumu tunapoteza nguvu kwa kulalamika na kulaumu.
Sasa wapi makonda kawakataza ma-RC wengine kuungana naye kwenye vita ya madawa ya kulevya? Kama wanataka wakamate wauza madawa kwenye mikoa yao, sio wasubiri waitwe na Paul.
....matamko yote yanayotolewa na chama yanatolewa baada ya vikao vya ndani ambavyo vimeruhusiwa, sasa kupigwa marufuku mikutano ya nje kunatuzuia nini sisi kama chama kupanga mipango ya chama badala ya kusubiri matukio ndo tuzungumzie?
Hofu yangu ni kuwa historia itatuhukumu hiyo kesho kwa kukaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.