Recent content by Fahad mayai

  1. Fahad mayai

    Msaada kujua gharama ya kufyatua tofali 4,800

    Hio ni kama umeamua kupiga tofal zako lakini kibiashara hadi 60 unapiga mchawi maji
  2. Fahad mayai

    Msaada kujua gharama ya kufyatua tofali 4,800

    Mfuko mmoja unatoa tofali 35 hadi 40 ila ukiwapa mafundi na wewe ukaondoka atakutolea hadi tofali 50 mwisho yeye ataondoka na cement.
  3. Fahad mayai

    Naomba ushauri wenu: Nataka nijenge chumba kimoja

    Wa tz tuko vizuri mtu kaomba ushauri wa gharama lets say tofal kadhaa bati kadhaa kuna nondo ngapi mbao ngap na za linta ngap.... Ila duh tz nchi ya aman sana mzee kma vip lima bang maana una experienc zaid
  4. Fahad mayai

    Natafuta mfugaji mwenye mayai ya kuku wa kisasa aliyepo Dar, Mlandizi, Chalinze au Kibaha

    Habari bei ya wiki hii ni 7000 nafata shamba mwenyewe kwanzia tray 200 yawe makubwa na kabla ya kufata mzigo nafika shamba kwanza kukagua na pesa ni cash
  5. Fahad mayai

    Natafuta mfugaji mwenye mayai ya kuku wa kisasa aliyepo Dar, Mlandizi, Chalinze au Kibaha

    Ndugu zangu muweni makini na watu wataokuja kusema wana mayai wengi wao ni wababaifu
  6. Fahad mayai

    Natafuta mfugaji mwenye mayai ya kuku wa kisasa aliyepo Dar, Mlandizi, Chalinze au Kibaha

    Natafuta mfugaji mwenye mayai ya kuku wa kisasa aliepo Dar, Mlandizi, Chalinze au Kibaha. Bei 7000 hadi 7300 ndo nnayo nunulia nnahitaji tray kuanzia 200 na kuendelea, mawasiliano 0625602775 napataikana Dar es Salaam Ilala, Amana. Nafika hadi shamba kufata mzigo.
  7. Fahad mayai

    Nahitaji mayai ya kisasa

    Inategemea na bei unayouzia, nipe contact zako nkucheck
  8. Fahad mayai

    Nahitaji mayai ya kisasa kuanzia Trei 100- 300 nipo Dar es Salaam

    Pia me mwenyewe nanunua kwa wafugaji na kuuza kwa jumla, nauza 6700 na mengine 7200 bei ya sasa hiv
  9. Fahad mayai

    Nahitaji mayai ya kisasa kuanzia Trei 100- 300 nipo Dar es Salaam

    Hiyo kitu nmeandika mwez april zaid ya miez 3 nyuma saa mnalalamika bei nlokuwa nachokulia kipimd hiko huku mnalinganisha na ya sasa ili hali mnajua mayai yanapnda na kushuka
  10. Fahad mayai

    Nahitaji mayai ya kisasa

    Natafuta mfugaji mwenye mayai ya kuku wa kisasa aliepo Dar, Mlandizi, Chalinze, Kibaha. Bei 6500 ndo nnayo nunulia nnahitaji tray 200, mawasiliano 0625602775 napataikana Dar es salaam ilala amana
  11. Fahad mayai

    Naomba kujuzwa namna ya Kucopy content kutoka VHS kwenda CD

    Habari wana jamii, nlikuwa na mkanda wa VHS au matofali kwa wengi walivyozoea. Sasa nlikuwa nataka niamishe content zilizopo ndani niweke katika CD kama unajua mtu anaehusika na kazi hizi naomba namba zao. Ahsanteni.
  12. Fahad mayai

    Msaada wa kuhamisha picha kutoka kwenye VHC kwenda kwenye flash

    Issue ni Issue ni sina vhs player nna vhs tape tu
Back
Top Bottom