Majority ya waliopata kazi za TRA mwaka huu wapo mtaani na wanakula mshahara pasipo kupangiwa sehemu yoyote ya kazi, kuna kijana ana miezi mitatu sasa jirani yangu yupo tu nyumbani na mshahara unaingia, wanasema wanasubiria kupangiwa vituo, inawezekana zile posts pia ni geresha?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.