Napunguza loans bank, biashara imekuwa shida kidogo, nitashare picha za ndani shortly, kuna kisima hapo na tank la 5000L, ni mita 200 kwenda barabara kubwa ya mtaa, kodi wanalipa 70k kwa mwezi kila unit, umeme huwa wanshare kulipa wapangaji wenyewe, kuna sales agreement, sikutafutia hati ila...