Recent content by Fact1990

  1. F

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Inawezekana hii ni dalili oral tulizofanya hatujatoboa, tunaanza upya
  2. F

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Tunamsubiria anaetupa hinti mkeka ukianza kusukwa
  3. F

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Hadi aliekuwa anatuombea kila asubuhi kakata tamaa
  4. F

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Natamani kujua pia, nilipofikia natamani hata kulipia tu nijue marks zangu niondokane na pressure za kuchungulia psrs kila silu
  5. F

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Mikeka imetoka mingi ila hola, hili gundu ni pro max kabisa
  6. F

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Yah la leo hili, waendelee na speed hii labda tutatoboa
  7. F

    JamiiForums Tanzania Kisa: Nilivyowahi maishani

    Wanaume tunapitia shuruba nyingi sana, Mungu alituumba tuvunge tusiongee tu, right Kama tungekuwa na midomo mirefu ungejikuta wewe una afadhari
  8. F

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Kabisa
  9. F

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Kabisa aiseh
  10. F

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Kama zipi?
  11. F

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Tulifanya nae oral tarehe 15 April 2026 na Ndio oral interview yake ya kwanza
  12. F

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    For sure, Jamaa yangu alikata tamaa kabisa ila Jana kapata, soon wengi tutaleta shuhuda hapa
  13. F

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Jana leo wametoa placement nyingi sana, mimi sijapata ila jobless mwenzangu kapata accounts officer Jana
  14. F

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Tumekata tamaa na pdf zinazotoka, bora watupe majibu tume fail oral
  15. F

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    PDF zikitoka ndio panachangamka,
Back
Top Bottom