Recent content by Fact1990

  1. F

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Sawa msemaji mkuu wa serikali
  2. F

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Majority ya waliopata kazi za TRA mwaka huu wapo mtaani na wanakula mshahara pasipo kupangiwa sehemu yoyote ya kazi, kuna kijana ana miezi mitatu sasa jirani yangu yupo tu nyumbani na mshahara unaingia, wanasema wanasubiria kupangiwa vituo, inawezekana zile posts pia ni geresha?
  3. F

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Waliofanya practical interview kwenye hii kada ya finance management officer, ni vitu gani mlikuwa mnafanya? Nilidhani kada hii ni written na oral tu
  4. F

    Finance management officer ii utumishi wanatoa maswali gani kwenye written interview?

    Waliofanya practical interview kwenye hii kada ya finance management officer, ni vitu gani mlikuwa mnafanya? Nilidhani kada hii ni written na oral tu
  5. F

    House4Sale Nyumba za kupangisha for Sale, Tsh. Milioni 35 tu, unit 5 ndani ta eneo moja

    Vijana tutakuwepo, bibi, babu na watoto watabaki nyumbani
  6. F

    House4Sale Nyumba za kupangisha for Sale, Tsh. Milioni 35 tu, unit 5 ndani ta eneo moja

    Wife kagoma nisitoke bila kuacha kitu, anajua naweza nisirudi
  7. F

    House4Sale Nyumba za kupangisha for Sale, Tsh. Milioni 35 tu, unit 5 ndani ta eneo moja

    Ni kweli, lipia nipate hela ya kuweka chakula ndani nikaandamane
  8. F

    House4Sale 5 units nyumba za kupangisha zinauzwa tsh milioni 35

    Napunguza loans bank, biashara imekuwa shida kidogo, nitashare picha za ndani shortly, kuna kisima hapo na tank la 5000L, ni mita 200 kwenda barabara kubwa ya mtaa, kodi wanalipa 70k kwa mwezi kila unit, umeme huwa wanshare kulipa wapangaji wenyewe, kuna sales agreement, sikutafutia hati ila...
Back
Top Bottom