Ni wakati wenu EGA kuonesha uwepo wenu katika serikali ya JPM. Serikali iko kwenye mapambano dhidi ya COVID 19 inayopelekea mawasiliano kufanyika kwa njia ya mtandao. Nashauri muanzishe mawasiliano kwa kutumia group kama za whatapp ili kuwezesha vikao(onlinemeeting). Pia muanzishe app...
Ni wakati wenu EGA kuonesha uwepo wenu katika serikali ya JPM. Serikali iko kwenye mapambano dhidi ya COVID 19 inayopelekea mawasiliano kufanyika kwa njia ya mtandao. Nashauri muanzishe mawasiliano kwa kutumia group kama za whatapp ili kuwezesha vikao(onlinemeeting). Pia muanzishe app...
Naomben ushauri nimeota nataja jina la mwanamke ambaye siko ukaribu nae sasa mama watoto kanuna anaona mpaka nyumban apakaliki naomba ushauri nifanyeje
Wadau,
Naomba msaada,
Kwa wastani gharama za ufundi wa nyumba ya vyumba 4 kwa standard ya kawaida kuanzia kwenye kupandisha ukuta hadi kukamilisha lenta, je gharama za ufundi uwa ni shilingi ngapi kwa wastani au kuanzia ngapi mpaka ngapi?
Msaada plz wanajamvi
Hivi mkuu kujenga msingi wa nyumba ya vyumba 4 vya kulala (kimoja master) dining, public toilet, sebule, store, jiko. je matofali ya msingi yanaweza kuwa mangapi kwa wastani na mifuko ya sementi mingapi?.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.