Recent content by F2S

  1. F

    Serikali imesema ina mpango wa kununua ndege nne mpya kwa ajili ya usafiri wa abiria

    Hakuna nchi inapata maendeleo bila kuwa na shirika la ndege lenye nguvu. Naipongeza serikali kwa hili. ATCL inatakiwa ijiimarishe kwanza katika safari ambazo makampuni mengine hayazifanyi kama route ya kigoma kwa kutumia Q400 (abiria 78 speed kama ya jet tu) halafu kwa kutumia ndege hiyo kuingia...
  2. F

    Steven Wassira adai hakubaliani na ushindi wa Easther Bulaya

    Uchaguzi huu unavituko
  3. F

    Chanzo cha ajali ya chopa iliyombeba Filikunjombe

    Tusubiri ripoti itatoka tutajua ukweli. Sijakubali kama huyo meandishi alimuhoji mtaalamu. Angemuhoji jibu lingekuwa tusubiri uchunguzi period wamefunzwa hivyo.
  4. F

    CCM imehalalisha ukabila? Magufuli anahutubia kilugha

    Hakututendea hako tuliokuwa tunamsikiliza kupitia radio.
  5. F

    Ikulu yakanusha Mshahara wa Rais Kikwete kufika dola 192,000

    Analipwa ngapi sasa? Duuh ntamzidi lowassa mshahara tehetehe. Na per diem ipunguzwa pia sitting allowance.
  6. F

    Kutoka Bahari Beach Hotel: Yaliyojiri katika Mapokezi ya Edward Lowassa kujiunga CHADEMA

    Kuna mahala nipo wanaccm walikuwa wanamkutano ukumbini wametoka na kukaa kama waliochanganyikiwa. Kuna dalili kama kuna wengi watamfuata mamvi
  7. F

    Mapadre waanza rasmi kumpigia Magufuli kampeni

    Kilichomtesa EL ndo hicho tu. KKKT watasubiri sana bongo Uraisi ni Katoliki na Islam tyuuuu.:A S angry::A S angry:
  8. F

    Hakuna haja ya kuangaika na maji ya DAWASCO, chimba kisima kwa bei nafuu sasa

    Pia niko pugu marneo ya sekondari. Kuna majirani zangu wamechimba around mita 100 lakini maji yanachumvi kali sana. Maji wanayopata hayafai labda kuflashi choo tu. Nataka kujua pia je kuna uwezekano wowote mimi nikichomba kupa maji tofauti na hayo?
  9. F

    Master of Engineering Management, CoET

    Nawasalimu Umofya kwenu? Ninapenda kujiunga na kozi tajwa hapo juu evening class kwa hiyo nahitaji kujua yafuatayo. 1) masomo yanaanza na kuisha muda gani 2) ni siku ngapi ndani ya week kuna vipindi na ni zipi hazina. 3) walimu wako flexible kuaccomodate matakwa ya mwanafunzi mmoja mmoja...
  10. F

    TTCL imejaa Wazee, Tangazeni Nafasi za Kazi

    Wazee ni tatizo kwenye serikali na taasisi zake. Unajua mtu akikaribia kustaafu ubora wa utendaji wake unapungua sana na anakuwa mtu wa kukusanya kila senti inayokatiza mbele yake. Kukiwa na safari ya kimafunzo nje ya nchi atafanya kila hila aende yeye na matokeo yake darasani kunakuwa na babu...
  11. F

    Gharama za kupiga rangi

    Nitajitahidi kuweka hiyo floor plan lakini ukubwa wa nyumba ya kawaida kama nilivyoeleza ktk post yangu mojawapo. Nisaidi kwa uzoefu wako kukadiria.
  12. F

    Gharama za kupiga rangi

    Asante sana. Na je kawaida fundi mmoja anaweza kuchukua muda gani kumaliza kazi?
  13. F

    Gharama za kupiga rangi

    Kuna plaster tu hivyo skiming bado. Ukubwa ni nyumba ya kawaida yaani ina vyumba vitatu vya kulala, study room, sebule, dinning room na store. Nahitaji kujua gharama ya ufundi tu sio vifaa. Thanks again
Back
Top Bottom