Naiheshimu IST tofauti na zamani japo wakati mwingine unanyanyasika sana barabarani. Wiki mbili zilizopita niliitumia toka Morogoro mpaka Kibondo na kurudi bila shida pamoja na kupita barabara ya vumbi Kakonko mpaka Kibondo
Sehemu kubwa ya wilaya za Morogoro ikiwemo Mvomero na Kilosa mashamba makubwa yanamilikiwa na viongozi wakubwa wa serikali ambao walijimikisha wakati wa awamu ya tatu ya serikali
Inasemekana tatizo la kuhujumu uanzishaji wa viwanda vya sukari nchini ndo ulipelekea taasisi nunuzi kukaimisha ununuzi wa kiwanda kwa tanroad na ni kundi dogo sana la watu walijua hii kitu vinginevyo hakuna kiwanda ambacho kingejengwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.