Recent content by EZJ

  1. E

    Nashindwa kupenda mtu mwingine

    Asante sana mkuu.Kwa kuwa tumeambiwa tuishi nao kwa akili,basi kila kitu kitaenda sawa.
  2. E

    Kenya: Mchungaji awaamuru waumini wa kiume kulamba supu iliyotapakaa kwenye vidole vyake

    Angejuta kucheza na Kristu,nyambaf kabisa😠😠😠😠😠
  3. E

    Nashindwa kupenda mtu mwingine

    Mkuu unadhani waliojiua walikuwaga hawana akili au?Ni kumuomba Mungu tu na pia kujifunza kutokana na makosa.By the way leo kanipigia mwenyewe asubuhi na pia ameniunblock.Ila ambacho hajui ni kuwa ameshajipunguzia credits nyingi sana kwangu.Kiukweli now it's all about me, myself and I.Nashukuru...
  4. E

    Nashindwa kupenda mtu mwingine

    Pole sana mkuu,tupo wengi tunapitia hii hali kumbe.Mimi ninaishi mkoa mwingine na mke wangu,last week alinifanyia bullying flani hivi.Aisee sitaki hata kukumbuka,maana nilijikuta nimeenda sehemu nikanywa pombe halafu nikajaribu kujiondoa kwa njia mbalimbali zaidi ya mara tatu.Mungu...
  5. E

    Ni lini hangover ilikutesa na ilikuaje mpaka ukaapa hunywi tena kilauri?

    Kusema ukweli nimedhamiria kabisa kwa dhati kuachana na pombe kwa ajili ya kuilinda afya yangu na ndoa yangu.Maana mke wangu hapatani na mimi kabisa kwenye suala la pombe.
  6. E

    FreeBasics: Lipo la kufanyiwa kazi kwa Haraka Wizara ya Utumishi

    Huu uzi auone Waziri Mchengerwa,una hoja za msingi sana.Asiishie kukaa tu na wasaidizi wake wizarani.Wajipange wapite kwenye halmashauri waonane na watumishi wenye kero sugu ili kuzipatia ufumbuzi.Mfano mdogo tu ni huu wa ulipwaji wa malimbikizo.Kweli uhakiki wa Malimbikizo uchukue miaka na bado...
  7. E

    Sikia, usipoteze time yako kuchase women, Chase your dreams

    Mtoa mada upo sahihi.Nashukuru Mungu kwa Sasa nimeoa.Kaka yangu alikuwa ananiambia kipindi ninasoma,kuwa tengeneza future yako.Wanawake watakuja wenyewe na utajichagulia chaguo lako.Mwanzoni sikumwelewa.Ila baadae nilithibitisha.Tafuta future yako!
  8. E

    Sikia, usipoteze time yako kuchase women, Chase your dreams

    Aisee Mimi ni mmoja wao.Nikiwa mzima nitakuwa nathaminisha uumbaji wa Mungu.Ila nikianza kupata kilauri sasa,halafu kuwe na vitamin music nageuka popo.Nitacheza music mwanzo mwisho.Mademu big noooooooo
  9. E

    Vichaa wanaheshimu mambo matatu! Pesa magari na mapenzi

    Mimi bwana kichaa changu ni Cha kupenda pombe,halafu kuwe na music mzuri sasa.Yaani nageuka popo.Chakushangaza ninavyozidi kulewa sitaki kabisa mwanamke yoyote anisogelee.Yaani hata wahudumu wakinisogelea nipo radhi niende nikakae kaunta.Japo nikiwa mzima nakuwa nathaminisha uumbaji wa Mungu,Ila...
  10. E

    Nasherehekea Christmas kwa huzuni

    Pole sana ndugu yangu.Naamini Mungu wetu ni mkuu,na hashindwi na jambo lolote llile Hivyo ni imani yangu kuwa atawapatia uponyaji ndugu zetu hao wanaoumwa,Amina!
  11. E

    Nimemzika na mama mzazi

    Pole sana NAKADORI .Najua unayopitia kwa sasa.Mimi nilimpoteza mama yangu 30/7/2021 na jumamosi iliyopita ndio tulikuwa tunajengea kaburi lake.Kiukweli itachukua muda mrefu sana kwa upande wangu machungu ya kumpoteza mama yafutike,japo najua haitawezekana kamwe.Faraja pekee niliyonayo ni mke...
Back
Top Bottom