Recent content by Ezekiely Charlese

  1. Ezekiely Charlese

    Kwa marafiki wa kweli

    Samahani wapendwa mimi ni kijana, maisha yangu siyafurahii bila marafiki, please nitafute hapa 0764302787
  2. Ezekiely Charlese

    Pinda, Muhongo, Werema, Ndulu na wengineo komaeni hivyo hivyo, msikubali kugeuzwa mbuzi wa kafara

    Kwani madaraka ya waziri mkuu ni nini? Baada ya hapo ushajua pinda anawajibikaje
  3. Ezekiely Charlese

    Nani kuwa Waziri Mkuu wa tatu kwenye awamu ya nne ya Kikwete?

    Tunahitaji mtu anayeweza kuisimamia sheria, magufuli anafaa sana hakuna kama yeye nchi hii
  4. Ezekiely Charlese

    Pinda akubali kujiuzulu jioni hii

    Tatizo tunawatukuza mno viongozi kama mungu watu
  5. Ezekiely Charlese

    Wabunge wa CCM waandaa hoja ya kumng'oa Spika Makinda

    Umoja unatakiwa kwa kila mzalendo wa nchi hii
  6. Ezekiely Charlese

    Tafiti: Wanaume wenye ndoa hawafanyi style Hii

    Vip akitoka nje utajisikiaje?
  7. Ezekiely Charlese

    Amfumania Mumewe aamuwa kumwaga Razi kazi kweli ipo bongo yetu..........

    Atajiju ukifanikiwa leo kesho ni siku nyingine
  8. Ezekiely Charlese

    Kibonzo cha Leo

    Sijaelewa
  9. Ezekiely Charlese

    Kibonzo cha Kipanya cha leo leo.

    Hilo ndo tatizo la sanaa bongo big up kipanya kwa kuwafundisha
  10. Ezekiely Charlese

    Tahadhari watumiaji wa tigo!!

    I see ni shida nilikuwa na mpango wa kusajili line ya tigo baada ya voda kupunguza kifurushi cha mia tano! Mkuu nashukuru
  11. Ezekiely Charlese

    Mwanamke mwenzangu, Wewe ni mwanamke wa aina gani kitandani?

    No sawa ila hata hivo juwa wapo zaidi ya huyo kazana uongeze utundu
  12. Ezekiely Charlese

    Uzazi wa Mpango - Njia za kuzuia, aina ya Uzazi wa mpango na ushauri

    Ndo msaada au madimango? Wanaume hawako hivo ujue
  13. Ezekiely Charlese

    Uzazi wa Mpango - Njia za kuzuia, aina ya Uzazi wa mpango na ushauri

    Mwanamke aliyetumia sindano za uzazi wa mpango humchukua mda gani kupata ujauzito pindi aachapo kutumia?
  14. Ezekiely Charlese

    Makofi kwa babu seya

    We toka lini mkuu
Back
Top Bottom