Mkuu hakika hata ilivyo kua katika sinagogi yesu alipoingia nakukuta nyumba ya mungu imegeuzwa jengo LA bihashara basi Kama alivyo waambia Yale maneno na kuvuruga zile meza na kuwafungulia ndege na wanyama waende zake basi ndivyo hivyo vivyo rais jpm amelazimika kutoa hotuba Kali kwani nchi yetu...
Ina uma Sana uhai wa mtu unapopote akiwa anatimiza maandiko ya mwenyezi kwamba "mfanye kazi" af awamuhi Ina sema hapa kazi tu na haija chagua ni aina gani ya kazi sasa Kama huyo ndugu alikua muhalifu basi hata katika mazish asiombewe dua Bali aombewe hadhabu lakini Kama alikua anatafuta kwaajili...
Watanzania wengi ni mandezi kweli kweli unajua kabisa uhai wa mtu nizaidi yahiyo kazi yako ya polisi sasa wewe una mkamata bodaboda kwakosa gani kubwa kwamaana ile pkpk haukumnunulia wewe na hakuna maelezo yoyote yanayo kataza pkpk zisiingie Tanzania sasa Kama mliluhusu pik pik kuingia...
Subilini kuongopewa siwanawajua MTU huwezi pita njia usio jua inatokea wapi Bali unapita njia ukijua unatokea unapo pafahamu ...but ya mungu mengi.... Na lisemwalo lipo ....then at the end of day tutapeana kashifa ya uchawi.....
Ni mtazamo tu....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.