Kumtoa mwafrika na kumkomboa kifikra ni shughuli ndugu wacha muda ufike wataamka wenyewe wajitambue
Tamaduni zetu ni kila kitu kwetu back to the nature
😂😂😂😂😂 Wa etu brainwashed ili tujiona kama tunavojiona hii kazi haijaanza leo ni muda mrefu
Mfano wa nzi au ndege kuweka kwenye kopo ili asiruke na badae kifuniko kikatolewa akili ya ndege mpk sasa inaogop kupaa ikizani haiwezi
Ukombozi wa kifikra ndo kitu tunahitaji
Kama ingekua inaua sana nadhani tz mngebaki wawili wakati mwingine tujikite kuwaza mamb beyond media ugonjwa wako namba moja ni uoga wako wapo wanaokufa mwa malaria kila ukicha mbn hamtembei na vyandarua
Kila utakacholetewa lazima ufikiri kwa kina kumsema kwa namna hiyo mwendazake kwa kuwa ni...
Wanaoishi mazingira ya Afrika rangi zao mbn jibu unalo ila tunajitoa ufahamu kwa nn waAfrika weng mnakataa ukuu wenu kwa nn mnajikataa kwa nini mnakubali kudanganywa bila kufukiri kwa kina?
Na ndmn nilisema sio wote sababu hata mimi kuna familia ninaifahamu ni wakarimu na nilikua nina urafiki nao.... Na kila sehemu jamii zao kuna wazuri saaaaana kuna wazuri wa kawaida na wabaaya sana.... That is my fact
Nimewaonglea sababu ni wanatetewa ni wema sana mimi nimeishi nao ninazungumza ninachokijua nilichokiexprience
Huwa sipendi kuzungumza mamb yakusadikika hata mimi kabla niliona wanasemwa nikajua ni uongo ila nimeshuhudia upumbavu wao
Tena tuyaache yananichafua moyo
Tunachokizungumzia ni ubaguzi wa rangi ndugu
Kila mahali maovu yanafanyika hakuna sehemu salama
Wanatubagua hawatupendi sababu ya rangi wanatudharau.... Hakuna mtu anaeleta chuki ila tunazungumza ukweli na uhalisia wa mamb
Lengo langu kwenye msosi sitaki vya kigeni nahitaji kupika vyakula vyetu vya asili sabab havipatikani kwa wingi labda kuhusu juice ila hapo nipo vzr
Thanks much nimebeba kitu kwako ✊🏻
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.