Recent content by extraordinary cyb

  1. extraordinary cyb

    Jamani hii ni almasi au vipi?

    Hamna bosi hana baya 🙂
  2. extraordinary cyb

    Jamani hii ni almasi au vipi?

    Nsaidie 5k apo bosi ☺️
  3. extraordinary cyb

    Ukweli kuhusu "Kibamia'

    Ukituita vibamia tunakuingilia kinyume ...full ✋️ stop 😂😂
  4. extraordinary cyb

    Tendo la ndoa sio kwa starehe

    Mbona tukigusanisha tunahisi utamu kama sio starehe😂😂 Kwhyo wewe hulali na mkeo 🤔 Mlete basi 😂😂
  5. extraordinary cyb

    Jamani hii ni almasi au vipi?

    Ukiwa maskin hata mawe utaona dhahabu 🙄 BONGOLAND NYOSO
  6. extraordinary cyb

    Nimeota ndoto ya ajabu muda huu...

    Mbona unaota ujinga 😂
  7. extraordinary cyb

    Sativa: Bila video kusambaa mtandaoni mngekaa kimya na hii taarifa ili mfanye vile mnafanyaga siku zote?

    Haya matukio lazima yawepo nyakati kama hizi karibia na uchaguzi 🙂‍↔️ Cheza kwa usalama usije kuwa mtu wa mfano . KILA MTU ASHINDE MECHI ZAKE 😎
  8. extraordinary cyb

    Nini maana hii ndoto?

    Hakuna maana yoyote . Ndoto mara nying ni revision(marejeo) ya matukio na mawazo uliyopitia sku nzima kabla ya kulala .hakuna ushahidi wowote kama ndoto zina maana,kinyume na hapo utaanza kujijengea fikira za kiimani .ila ndoto sio kitu cha kukufanya uwaze sana.punguza mawazo potofu tengeneza...
  9. extraordinary cyb

    Video: Huyu ni nani?

    Matajir hawaongei sana.. Huyu katumwa kumsfia.............😂😂🙌
  10. extraordinary cyb

    Nashauri Mamlaka za Tanzania Kufanya Mazungumzo na Visiwa vya Comoro Viwe sehemu ya JMT Vikiwa na Utawala Wake wa Ndani kama Zanzibar

    ZanzIbar yenyew ni mzgo kweny bajeti ya taifa.Alafu unashauri kuongeza matatizo 😂🙁
Back
Top Bottom