Sio kweli umeipindisha kidogo, mi nakumbuka ilikuwa ni kwa uzuri kabisa hilo suala la uniform, maana nakumbuka baada ya changamoto za pesa za uniform kutoka serikalini, busara ikatumika kuagiza vitambaa kupitia msd na kuwagawia ili atlest kusaidia hilo tatizo na ndo maana walipewa na wakashona...
Kas na kis 2014 hazina feature ya kua activate kwa kutumia keyfile.. Wameona wanachakachuliwa sana, kama unataka uendelee kutumia ya 2013 ndo key file zinapatikana ila kama kawaida jamaa huwa ni wachungu sana kwa product zao so, utakuwa waki kublack list unatafuta key file ingine tena..
Ingia...
Calling all hackers. Google is handing out the big
bucks.
Yesterday, the tech behemoth announced plans
for its fourth annual hackathon (called Pwnium
4: "Pwn,"the act of breaking into a computer
and owning it, + "ium," a play on the full name
for Google Chrome: Chromium) which will take...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.