Recent content by Expert911

  1. Expert911

    Mke wa Kaka: Hujapata mwanamke wa kuwa naye?

    Dunia imeshafika pabaya hii
  2. Expert911

    Nimekubali kuachwa tena

    Mkuu 911 tunaweza mfanya kitu mbaya huyo manzi are ready
  3. Expert911

    Nimekubali kuachwa tena

    Kuna watu bado mapenzi yanawatesa tu
  4. Expert911

    Inawezekana kurudiana na mpenzi wa zamani na mkawa sawa kwenye mapenzi yenu?

    Mapenzi Sina hamu nayo kabisa Ila Cha kukushauri fanya kila unaloweza usiingie kwa miguu yote Kwa maana umeshapima urefu wa mto kwa miguu yote miwili hukuzama ukaponea chupuchupu Chunguza kwanza either anarudi 1.Shida zinamrudisha 2.Amegundua wewe ni mwenye mapenzi ya dhati kwake
  5. Expert911

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Kuna inter Chelsea kidogo azingue ni vyema kutafuta market zenye low risk but zinakuwa na percentage kubwa ya win
  6. Expert911

    Kwanini Wanawake hulazimisha kulala na wapenzi wao hoteli za kifahari?

    Mkuu umetuaibisha sana wanaume ni bora ungekaa tu kimya
  7. Expert911

    Nampenda ila mawasiliano ni changamoto

    Akikujibu ni tag mkuu tuje tumshauri Smart911 Atakwambia hayanaga muongozo au formula
  8. Expert911

    Nimegundua mdogo wangu ana mahusiano ya kimapenzi na Mpenzi wangu

    Inasikitisha sana vijana bado Wana penda kwa dhati
  9. Expert911

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Narudia tena ogopa sana direct win Tafuta mbinu afu stick nayo mhindi anapigika tu
  10. Expert911

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji1635]
  11. Expert911

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    We are Liverpool
Back
Top Bottom