Recent content by Expert Judgement

  1. Expert Judgement

    Simulizi ya kijasusi - Nilimdhania kahaba kumbe bikra

    Nje ya uandishi ningependa kujua kazi haswa ya singanojr km hutojali
  2. Expert Judgement

    Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Mkuu kwanza nikupongeze utafutaji wako umenikumbusha kitu ambacho nilianza kujisahau kuwa serious na kazi kuna muda km nilianza kujisahau lakn sahz nimekuwa serious mambo yanaenda....ila mkuu nimenotice kitu nahisi unahisi kuwa mkeo ni member wa jf! So yale matukio ya wanawake ambayo ni...
  3. Expert Judgement

    Je, kuna kazi za kike na za kiume? Fupa hili lililowashinda wanaume wanne, mwanamke mmoja ataliweza?

    Kati ya sikio na kijiti cha kuchokonolea sikio kipi kinasikia utamu?
  4. Expert Judgement

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Mkuu nimeileta hii story ilitujue wapenzi au wake ukimruusu kutoka pekeake kuna nafs kubwa ya kuliwa huko nje...mfn binafsi nikiona kuna mdada anatrip nyingi za kuja shop let say Mara 2-3 per night afu anategea mida ambayo IPO kmy...huyu kuna asilimia 80 Za kuliwa so tuwape ulinzi hawa viumbe....
  5. Expert Judgement

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Nafasi finyu....hata ivo nimejitahd kuandika ziko nyigine km 3 za shop tu
  6. Expert Judgement

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Jioni ya Leo.....nasema jioni ya Leo Usiku huu nimetoka kula tunda la peponi kiulainiii Nipo zangu dukani nimempokea wife kaenda kuandaa dinner around SAA tatu katokea Dada mmoja HV nimiongoni mwawanawake ninao watamn area hii Anamwili wastani, mkimya....akicheka anamwanya pia dimpoz...
  7. Expert Judgement

    Benki ya Dunia yaikopesha Tanzania Tsh. Trilioni 1.2 za Miradi ya Maji na Afya

    Usafi kila mwisho wa mwezi hautoshi mpaka tukope?
  8. Expert Judgement

    Jinsi Mc wa Ifakara alivyonipa fedheha mbele ya umati

    Huna hela, hata mikwara tu huna? Ulikua village microfinance bank!
  9. Expert Judgement

    Uzi maalumu wa Mimea Tiba inayotuzunguka majumbani

    Nusu kilo ya karafuu na maziwa ukichanganya hayata ganda au hata yakiganda nitiba?
  10. Expert Judgement

    Uzi maalumu wa Mimea Tiba inayotuzunguka majumbani

    Nitag mkuu au post Namba NGp maana jf application inazingua kusearch
  11. Expert Judgement

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Ingia fb Kule kwenye setting pakia wasiliani utazikuta Namba Nyingi tu mtandao hausahau kitu
  12. Expert Judgement

    Uzi maalumu wa Mimea Tiba inayotuzunguka majumbani

    Dawa ya wanaokosa hedhi kabisa au kuvurugika hawa tunawasaidiaje? Km imejibiwa post ya zingine mnitag ila kama bado naomba maarifa wife anapitia hii changamoto
  13. Expert Judgement

    Uzi maalumu wa Mimea Tiba inayotuzunguka majumbani

    Nini siri ya mwiko wa kupikia katika tiba za asili?
  14. Expert Judgement

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Leteni visa vya wake za wachungaji wanavoliwa jamn
Back
Top Bottom