Recent content by Expedito Mduda

  1. Expedito Mduda

    JamiiForums Tanzania Takwimu zinavyomkataa Ibra Traore kama mkombozi wa Burkinabe na Waafrika

    Watu hujigamba katika mambo wasiyoyajua vizuri. Watu wanatakiwa wajigambe kama kiongozi wao anaweza kuleta teknolojia inayopeleka maendeleo mbele. Sasa amekaa tu na kutoa tano eti hiyo ndo sifa!!!
  2. Expedito Mduda

    JamiiForums Tanzania Yesu Kristo awaaibisha wanasayansi wakubwa!

    Ila nawe ni zezeta kweli! Sasa hizo principles ulizosimulia hazipo kwani? Kama zipo na zinaoperate basi Yesu hakuwaaibisha hao maana zipo na zinafanya kazi. Sema tu we ndo unaaibika unayeamini kitu cha kusimliwa. Hwezi tuthibitishia kwamba Yesu alipaa mbinguni. Ila unaweza thibitisha kwamba ku...
  3. Expedito Mduda

    JamiiForums Tanzania Apata ajali akisafiri na UNGO

    Halafu sasa maskini ndo mashabiki wakubwa wa mambo ya ijinga
  4. Expedito Mduda

    JamiiForums Tanzania Apata ajali akisafiri na UNGO

    Watu mna akili ndogo sana za kuamini mambo yasiyokuwepo!
  5. Expedito Mduda

    JamiiForums Tanzania Hivi kwanini Yesu hakuoa wala kuwa na mchumba miaka yote hiyo?

    Aliona mapenzi ni kupoteza muda kabisa. Kwanza yaweza kufanya upoteze ufanisi wako
  6. Expedito Mduda

    JamiiForums Tanzania Papa Francis amteua Padre Romanus Elamu Mihali wa Jimbo la Mafinga, kuwa Askofu mpya wa Jimbo la Iringa

    Alikuwa padre wa jimbo la Iringa kabla Mafinga jalijawa jimbo. Baada ya Mafinga kuwa jimbo akawa ni padre wa jimbo la Iringa. He is a good man namjua sababu tumesoma seminari Mafinga wote na baadaye tukawa walimu wote Mafinga seminari. Anastahilo sana. He is a humble man
  7. Expedito Mduda

    JamiiForums Tanzania Je, ninaweza kumtengua msimamizi wa mirathi?

    We jinga
  8. Expedito Mduda

    JamiiForums Tanzania Gaza: Mpango wa amani kati ya Israel na Hamas uko karibu kufanikiwa

    Nani kasurrender hapo?
  9. Expedito Mduda

    JamiiForums Tanzania Je Mizimu ipo au ni maneno ya Watu

    Sasa wewe usiote na mambo yote ya kijinga uliyonayo hayo! Yaani hayo yote uloandika ni ujinga wa hali ya juu sana yaani mno.
  10. Expedito Mduda

    JamiiForums Tanzania Usiwekeze kwa mwanamke

    Haya bwana. Endelea
  11. Expedito Mduda

    JamiiForums Tanzania Magharibi walitudanganya kuhusu demokrasia, Trump kama Lissu TU.

    Demokrasia haipimwi hivyo. Mafaili umeyachanganya
Back
Top Bottom