Recent content by exceptional lady

  1. exceptional lady

    Utafanyaje? Unaamka unakuta dunia nzima uko peke yako?

    Hizo ni akili za kuwaza leo wikend inaanza alafu huna pesa
  2. exceptional lady

    Mzee wa upako Athony Lusekelo mwezi wa tatu umefika je tujeandae na misiba?

    Kumbe Na wew unamwangaliaga eeee.... jamaa anapenda sana pesa [emoji28]
  3. exceptional lady

    Miss chaga

    Huyo mdada anaonekana anapiga sana misamba
  4. exceptional lady

    Uvaaji wa chupi mpya kwa wanawake

    Au yawezekana ni antie Amina huyuu maana sina amani Na avatar yake
  5. exceptional lady

    Utafiti; Wadada wengi humu ni 'single mothers' na wana 'stress' za kukosa wachumba

    We kataa ukubali wengi wenu feki... Na tutawapiga vizinga mpaka mchanganyikiwe
  6. exceptional lady

    Leo kila mtu ataje majina ya wapenzi wake hapa

    Umetishaaaa hahahah wote unakula auu???
  7. exceptional lady

    Haya ndio mambo usiyoyafahamu kwa baadhi ya wadada wanaotumia mtandao wa mapenzi wa Badoo

    Jaman hiyo ni true say...nina rafiki angu mzuri sanaa alijiunga Na huo mtandao, akawa anadate Na wababa mnaweza mkakaa sehem anapigiwa simu atawaambia nusu saa narudi Na kwel akiondoka nusu saa huyoo Na tax anarudi.kwel anaonekana ametembea Na wanaume wengi sanaaa bad luck mwaka jana akapata...
  8. exceptional lady

    Mwanaisha Raj... Umepatwa na Nini Mrembo? Tukusaidiaje?

    Lait wangepatikana wanaume kama wewe japo 10 tuu kweli dunia ingekua salama.. hongera mkuu kwa kuonyesha uanaume shupavu...sio kizipu chako unakifungua kwa kila mwanamke.
  9. exceptional lady

    Utafiti; Wadada wengi humu ni 'single mothers' na wana 'stress' za kukosa wachumba

    Yote haya wanaume ndo chanzo... wanawake wana ulevi wa kupenda mpaka wanasahau kwao.. ila sasa suruali hazituliagi kabisa wala hazina kutosheka...kwa mtindo huu single mothers wanazid kuongezeka... NB:.LADY'S DON'T LOVE TOO MUCH.. wanaume wengi chenga. Bora upende kimtego mtego tuu potelea mbali.
  10. exceptional lady

    TANZIA: Mrejesho wa msiba wa baba wa mwenzetu

    Mi pia ndo naona... mungu akutie nguvu.awe nawe katika kipindi hiki kigum [emoji120]
  11. exceptional lady

    Ushauri: Mwanaume hapendi kunisaidia

    Tupa kule ma!! Hamna kitu hapo
  12. exceptional lady

    Ulishasundaga hivi enzi hizo?

    Bila viboko Mr presida asingefikia hapo alipo hahaha "nanukuu"
  13. exceptional lady

    Dear President, a letter from a University student

    Ni vile we can not catch his neck tie.. I swear heeeeee le mi end up hia maana naogopa jela [emoji22]
Back
Top Bottom