Yup Germany war machine,yote hiyo ilimpa kichwa bwana mkubwa Hitler ya kutaka kujitwalia nchi kadhaa kuwa makoloni yake,ila walikuwa vizuri sana kivita wajerumani unaikumbuka blitzkrieg ilivyokuwa inazitwaa nchi kadhaa kama mwewe anyakuavyo vifaranga,blitzkrieg ilifaulu kwa urahisi kwenye nchi...
Hivi uliwahi kufuatilia lile dubwana walilojaribu kulitengeneza wajerumani kama prototype lilikuwa likifaru moja kubwa la ajabu zito mno sikumbuki walilipa jina gani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.