Recent content by EvilSpirit

  1. EvilSpirit

    JamiiForums Tanzania Hivi nyie wanaume wenzangu mnaonunua malaya mnawezaje? Mbona mimi kila nikijaribu nashindwa

    Nenda kimboka by night utapata hao wenye sura sense nuru kama muhuni wewe ulivyotutanabaishia
  2. EvilSpirit

    JamiiForums Tanzania Wanawake acheni ushirikina!

    God up mesi opulas
  3. EvilSpirit

    JamiiForums Tanzania Natamani Kujua Kuhusu Michango ya Mahafali ,je Ni Halali kwa wahitimu Kulazimishwa kutoa Michango

    Sisi tusiosoma hata darasa moja tuchangie nini *****
  4. EvilSpirit

    JamiiForums Tanzania Ushauri nimuoe huyu singo maza

    Mambo mengi hina haja ya kuomba ushauri,hivyo unavyofikiria huyo ndivyo itakavyokuwa
  5. EvilSpirit

    JamiiForums Tanzania Wewe kama baba unayemlea mtoto wako wa kike bila mama yake, ukaribu wako na mtoto unatakiwa uwe na mipaka akiwa na umri gani??

    Aisee mimi wanangu wa kike wakiacha tu kunyonya sitaki ukaribu wala mazoea nao
  6. EvilSpirit

    JamiiForums Tanzania Wakili Nasoro Katuga hana papara ni very professional

    Nadhani pia atakupiga miti hivyo hivyo kiprofessional mahaluni wewe
  7. EvilSpirit

    JamiiForums Tanzania Omba Mungu usifike huku

    Mh hii ina sehemu tano tu lakini muandishi ataimaliza mwaka ujao mwezi kama huu
  8. EvilSpirit

    JamiiForums Tanzania Labda alipoteza ndugu zake wengi kwenye mapinduzi ya 1964?

    Hiki kijitu humo mashuvuni kimejaza mrungi
  9. EvilSpirit

    JamiiForums Tanzania Ona kifaru cha kibabe cha wajerumani(Tiger Tank) kilivyokuwa kinawashwa

    Yup Germany war machine,yote hiyo ilimpa kichwa bwana mkubwa Hitler ya kutaka kujitwalia nchi kadhaa kuwa makoloni yake,ila walikuwa vizuri sana kivita wajerumani unaikumbuka blitzkrieg ilivyokuwa inazitwaa nchi kadhaa kama mwewe anyakuavyo vifaranga,blitzkrieg ilifaulu kwa urahisi kwenye nchi...
  10. EvilSpirit

    JamiiForums Tanzania Ona kifaru cha kibabe cha wajerumani(Tiger Tank) kilivyokuwa kinawashwa

    Ni sawa,kulikuwa ma landlover 109 za kuzungusha hivyo
  11. EvilSpirit

    JamiiForums Tanzania Ona kifaru cha kibabe cha wajerumani(Tiger Tank) kilivyokuwa kinawashwa

    Hili dude halikuona combat,lingefanikiwa kuingizwa vitani nadhani hakuna battle tank ingeweza kucompete nalo,hasa kwenye armour
  12. EvilSpirit

    JamiiForums Tanzania Ona kifaru cha kibabe cha wajerumani(Tiger Tank) kilivyokuwa kinawashwa

    No si hivyo nazungumzia panzer vii maus
  13. EvilSpirit

    JamiiForums Tanzania Ona kifaru cha kibabe cha wajerumani(Tiger Tank) kilivyokuwa kinawashwa

    Hivi uliwahi kufuatilia lile dubwana walilojaribu kulitengeneza wajerumani kama prototype lilikuwa likifaru moja kubwa la ajabu zito mno sikumbuki walilipa jina gani
  14. EvilSpirit

    JamiiForums Tanzania Ijumaa naenda camping peke yangu kwa siku 3 bila simu, internet, kilevi, kelele wala mawasiliano, naenda kutulia, kujitafakari na kuweka focus

    Jamaa akimuua lucas mwashambwa atatajirika mno kwa jjinsi atakavyokuwa anapokea shukrani kutoka jf
Back
Top Bottom