bullbar
JF-Expert Member
- Oct 21, 2014
- 333
- 500
Hii salamu imenishtua sana nilipokutana nayo asubuhi ya leo! Huyu rafiki yangu yeye ni Mholanzi kutokea huko bara la waliostaarabika, yan yeye hufanya shughuli katika moja ya taasisi za kimataifa sasa ajabu leo baada ya kunisalimu kwa style ambayo nchini ukipewa hilo jina basi jiandae kwenda kubinywa viya vya uzazi na wale wenye plate number za caterpillar.
Ikabidi nihoji kama yupo serious au amekosea, akaniambia yupo serious 100% maana wameambiwa Bongo kama Tehran ukitia mguu tuu ni full vilipuzi na usitegemee mwili au hata mabaki yako yaje kuonekana.
Nimesikitika sana nguvu iliyotumika miongo yote kuitangaza Tanzania among ya nchi zenye amani but ghafla wanaotumia vichwa kama dispenser za mate walivyoharibu kwa uroho na tamaa za ulafi wa madaraka.
Ikabidi nihoji kama yupo serious au amekosea, akaniambia yupo serious 100% maana wameambiwa Bongo kama Tehran ukitia mguu tuu ni full vilipuzi na usitegemee mwili au hata mabaki yako yaje kuonekana.
Nimesikitika sana nguvu iliyotumika miongo yote kuitangaza Tanzania among ya nchi zenye amani but ghafla wanaotumia vichwa kama dispenser za mate walivyoharibu kwa uroho na tamaa za ulafi wa madaraka.