Dah nadhani inshu hapo siyo off target maana hata gilikipa akitoka golini tukafunga shida itakuja tena kwenye mechi ijayo maana hata mechi iliyopita tulifurahi baada ya refa kuita kati wakati ilikuwa off side 😁❌.
Tumaini letu tukaweka kuwa labda mechi hii itakuwa nzuri na nafuu sana kwetu...
Idea ni nzuri lakini not to share information ya wanaohitaji kusaidia raia kupata picha na video ili wawe safe hapa. Itahatalisha usalama wao lakini maybe kama una mission tofauti
Haya ni maarifa ya siri kutoka Dimensions tofauti ambazo baadhi ya Elite wanajua toka miaka mingi nyuma ambazo zimeshatengenezwa na kutumika humo miaka mingi nyuma na viumbe wa siri zikija huku tunaita Sanyansi au uvumbuzi.
Lakini mwafrika akiyatafuta maarifa hayo anaitwa MCHAWI 🔨🔨
Sasa wewe kwa akili zako zilivyo ndogo unadhani anayezungumzia reforms zinamgusa yeye tu?
Haya hawa wanaosemwa hapa ni makundi ya wafanya biashara ndogo ndogo kuna mtu unayemjua wewe ambaye kanufaika na sera hizi zaidi ya kuwa hiyo mikopo na viongozi wanaowekwa ni wa watu wa CCM tu? ambao...
Kuna namna maisha ya watu yana siri kubwa pengine aliesababisha ajali ya mumewe ni mke so aliona akifanya haraka kujifanya anajua mpango kitamlamba mapema so kavunga kama hajui kitu.
Asante, 🤲🏻 Kabla hujaja ku comment tafakari kwanza vipi ungelikuwa ni wewe unapitia hiki then mtu anakuja na dhihaka kama yako utajisikiaje? Be blessed mkuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.