Recent content by Even MOre

  1. Even MOre

    Ni ushirikina mkubwa au ni nini?

    Dah nadhani inshu hapo siyo off target maana hata gilikipa akitoka golini tukafunga shida itakuja tena kwenye mechi ijayo maana hata mechi iliyopita tulifurahi baada ya refa kuita kati wakati ilikuwa off side 😁❌. Tumaini letu tukaweka kuwa labda mechi hii itakuwa nzuri na nafuu sana kwetu...
  2. Even MOre

    Fursa, Ushauri kwa vijana wanaomiliki Drones au Wanaweza kuunda/assemblies

    Idea ni nzuri lakini not to share information ya wanaohitaji kusaidia raia kupata picha na video ili wawe safe hapa. Itahatalisha usalama wao lakini maybe kama una mission tofauti
  3. Even MOre

    Nionesheni dawa ya mtu mzima miaka 20 anayekojoa kitandani

    Alikuwa na tatizo hilo kabla ya kuolewa? Tuanzie hapo
  4. Even MOre

    𝗠𝗔𝗠𝗕𝗢 𝟱 𝗸𝘂𝗵𝘂𝘀𝘂 𝗧𝗲𝗸𝗻𝗼𝗹𝗼𝗷𝗶𝗮 𝘆𝗮 𝗞𝘂𝘀𝗵𝗮𝗻𝗴𝗮𝘇𝗮 𝘂𝘁𝗮𝘆𝗮𝗼𝗻𝗮 𝗸𝘄𝗲𝗻𝘆𝗲 𝗺𝗮𝗶𝘀𝗵𝗮 𝗬𝗲𝘁𝘂

    Haya ni maarifa ya siri kutoka Dimensions tofauti ambazo baadhi ya Elite wanajua toka miaka mingi nyuma ambazo zimeshatengenezwa na kutumika humo miaka mingi nyuma na viumbe wa siri zikija huku tunaita Sanyansi au uvumbuzi. Lakini mwafrika akiyatafuta maarifa hayo anaitwa MCHAWI 🔨🔨
  5. Even MOre

    Taarifa kwa viongozi wa wWafanyabiashara ndogondogo makundi yote

    Sasa wewe kwa akili zako zilivyo ndogo unadhani anayezungumzia reforms zinamgusa yeye tu? Haya hawa wanaosemwa hapa ni makundi ya wafanya biashara ndogo ndogo kuna mtu unayemjua wewe ambaye kanufaika na sera hizi zaidi ya kuwa hiyo mikopo na viongozi wanaowekwa ni wa watu wa CCM tu? ambao...
  6. Even MOre

    Hii imekaaje wakuu. Amhudumia mume wake aliyepooza kwa miaka sita, alivyopona akapewa talaka

    Kuna namna maisha ya watu yana siri kubwa pengine aliesababisha ajali ya mumewe ni mke so aliona akifanya haraka kujifanya anajua mpango kitamlamba mapema so kavunga kama hajui kitu.
  7. Even MOre

    Nanunua Kampuni yenye leseni ya usafiri wa Anga.

    Mkuu ungeleewa maana ya huyu kenge ana manamaanisha nini usingemuita Mshana Jr jamvini 😂😂😂
  8. Even MOre

    Tutasogeza tarehe mpaka uchaguzi uwe mdomoni. Game itakuwa Over

    Mkizipata zile BAKURI 2 ambazo mchanga ulichanganywa mule ndipo akili za watanganyika zilimo. 😂😂
  9. Even MOre

    Msaada: Nimetupiwa kipande nateseka mwaka wa 3 sasa, nahitaji msaada

    Asante, 🤲🏻 Kabla hujaja ku comment tafakari kwanza vipi ungelikuwa ni wewe unapitia hiki then mtu anakuja na dhihaka kama yako utajisikiaje? Be blessed mkuu
Back
Top Bottom