Recent content by Even MOre

  1. Even MOre

    JamiiForums Tanzania KERO Mbwa wamezagaa Mtaani kwetu Kimara Temboni, wanatishia usalama wa Watu, hatua hazichukuliwi

    Mkuu si mtaji kabisa huo? Af unalalamikia kitiweo kabisa.
  2. Even MOre

    JamiiForums Tanzania CCM inaweza kutuambia nani aliwaua waliouawa Oktoba 29?

    Ushirika wa wachawi haudumu siku moja kila kitu kitakuwa wazi.
  3. Even MOre

    JamiiForums Tanzania CCM inaweza kutuambia nani aliwaua waliouawa Oktoba 29?

    Tukubaliane kuwa ni sawa kuna watu waliwahamasisha vijana kuandamana pamoja na walio uwawa wakiwa majumbani. SWALI 👇🏻 Baada ya hao watu kuwahamasisha ni wale wale ndo walikwenda kuwaua tena?
  4. Even MOre

    JamiiForums Tanzania Mwanaume hodari anajua kumdekeza mke/Mpenzi wake

    Sina hakika kama ni mwanaume
  5. Even MOre

    JamiiForums Tanzania Mwanaume hodari anajua kumdekeza mke/Mpenzi wake

    Hizi mentality za kijinga ndiyo zimekuwa anguko la ndoa nyingi za kwenye flash. Nawasilisha
  6. Even MOre

    JamiiForums Tanzania Je Simba, Yanga na TFF zilishawahi kuwa na viongozi toka vyama pinzan wa kisiasa?

    Sasa hicho ni chama cha upinzani? Au umeulizwa vyama vya kwenye flash?
  7. Even MOre

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Malalamiko kuhusu ukiukwaji wa maadili na matumizi mabaya ya madaraka katika chuo kikuu cha Teofile Kisanji Mbeya

    Uko sahihi , nilikuwa ni miongoni mwa wajumbe wa kikao cha viongozi kutoka idara na bodi za Jimbo flani la kanisa la Moravian tuliopinga huu UJINGA wa kulipa deni la CRDB bank wakati walikula fedha wanajulikana.
  8. Even MOre

    JamiiForums Tanzania Naomba kujua ni Godoro gani lenye ubora na linalodumu zaidi

    Nakazia tu 🔩 Ili godoro lidumu miaka mingi wakati wa kulala ninyi muwe chini lenyewe juu yenu. Miaka buku mtanishukuru 🤝🏻
  9. Even MOre

    JamiiForums Tanzania Ni ushirikina mkubwa au ni nini?

    Dah nadhani inshu hapo siyo off target maana hata gilikipa akitoka golini tukafunga shida itakuja tena kwenye mechi ijayo maana hata mechi iliyopita tulifurahi baada ya refa kuita kati wakati ilikuwa off side 😁❌. Tumaini letu tukaweka kuwa labda mechi hii itakuwa nzuri na nafuu sana kwetu...
  10. Even MOre

    JamiiForums Tanzania Fursa, Ushauri kwa vijana wanaomiliki Drones au Wanaweza kuunda/assemblies

    Idea ni nzuri lakini not to share information ya wanaohitaji kusaidia raia kupata picha na video ili wawe safe hapa. Itahatalisha usalama wao lakini maybe kama una mission tofauti
  11. Even MOre

    JamiiForums Tanzania Nionesheni dawa ya mtu mzima miaka 20 anayekojoa kitandani

    Alikuwa na tatizo hilo kabla ya kuolewa? Tuanzie hapo
  12. Even MOre

    JamiiForums Tanzania 𝗠𝗔𝗠𝗕𝗢 𝟱 𝗸𝘂𝗵𝘂𝘀𝘂 𝗧𝗲𝗸𝗻𝗼𝗹𝗼𝗷𝗶𝗮 𝘆𝗮 𝗞𝘂𝘀𝗵𝗮𝗻𝗴𝗮𝘇𝗮 𝘂𝘁𝗮𝘆𝗮𝗼𝗻𝗮 𝗸𝘄𝗲𝗻𝘆𝗲 𝗺𝗮𝗶𝘀𝗵𝗮 𝗬𝗲𝘁𝘂

    Haya ni maarifa ya siri kutoka Dimensions tofauti ambazo baadhi ya Elite wanajua toka miaka mingi nyuma ambazo zimeshatengenezwa na kutumika humo miaka mingi nyuma na viumbe wa siri zikija huku tunaita Sanyansi au uvumbuzi. Lakini mwafrika akiyatafuta maarifa hayo anaitwa MCHAWI 🔨🔨
  13. Even MOre

    JamiiForums Tanzania Shida ni kwamba watu wanadhani waliopo CCM hawajatoka kwenye nafasi za utalaamu

    Lakini wengi wajinga🔨
  14. Even MOre

    JamiiForums Tanzania Taarifa kwa viongozi wa wWafanyabiashara ndogondogo makundi yote

    Sasa wewe kwa akili zako zilivyo ndogo unadhani anayezungumzia reforms zinamgusa yeye tu? Haya hawa wanaosemwa hapa ni makundi ya wafanya biashara ndogo ndogo kuna mtu unayemjua wewe ambaye kanufaika na sera hizi zaidi ya kuwa hiyo mikopo na viongozi wanaowekwa ni wa watu wa CCM tu? ambao...
  15. Even MOre

    JamiiForums Tanzania Taarifa kwa viongozi wa wWafanyabiashara ndogondogo makundi yote

    Aijibu nishtue mkuu
Back
Top Bottom