Recent content by EveLady

  1. E

    Waganga ni waongo

    Ndio mimi nikatoto kazuri nanina taka kuwa mchawi.
  2. E

    Waganga ni waongo

    Eh mimi ni katoto kazuri tena naitwa huku katoto kachawi we ongea ongea tu nitakuendea waulize wenzako.
  3. E

    Waganga ni waongo

    Ndio mnavyosema ila ukienda ml utatoa wapi??
  4. E

    Waganga ni waongo

    Kweli kabisa sio uongo ni kweli halafu unakuta wanatest ujuzi wao na hela zako. Wewe bora ujikite na maisha tu .
  5. E

    Waganga ni waongo

    Mambo zenu Mimi sijamboo ila kweli hawawatu ni waongo. Unamuambia mtu aliye na matatizo akupe hela yeye atatolea wapi? Shenzi type yaani mtu anadai ml 1 mwingine laki 620 mwingine 400 mwingine lako 150 mwingine 80. Pumbavuu nimekasirika naona nikae na hali yangu. Dah warongo tu Mungu atanipa...
  6. E

    Asanteni kwa ushauri

    Nawaombea Mungu wote wale wanayoona maisha magumu ya mtu ni utani au kaja hapa kujoke around wapate mara mbili au tatu yake. Ili naye akiona mtu anashida anajua shida nini.
  7. E

    Asanteni kwa ushauri

    Haya bhana
  8. E

    Asanteni kwa ushauri

    Kwenu Jf Asanteni kwa muda wenu mliojitokeza sana kwa ajili ya shida nilizozisema . Napenda sana kuomba radhi kama nitawaudhi baadhi. Niliomba mtaalam na sio uhusiano naomba mnisamehe kama nimeongea vibaya kwa maana hilo mkija pm naomba mnisaidie kwa lile moja la mtaalam. Asanteni na Usiku Mwema.
  9. E

    Naombeni msaada, nahisi kukata tamaa ya maisha

    Asanteni kwa wote walionisaidia kwa mawazo mazuri na yakujenga. Ninawashukuru sana
  10. E

    Naombeni msaada, nahisi kukata tamaa ya maisha

    Nilikuwa na msikiliza tu yeye kaolewa ila ananiambia mimi nisiolewe .
  11. E

    Naombeni msaada, nahisi kukata tamaa ya maisha

    Jf mara ya kwanza kupost. Hata mimi nimecheka kwa comment zao.
  12. E

    Naombeni msaada, nahisi kukata tamaa ya maisha

    Namaanisha kuolewa nitaolewa tu sasa ni muda wa hela kazi.
  13. E

    Naombeni msaada, nahisi kukata tamaa ya maisha

    Vizuri unajua hela sio dili kama umeshapata familia . Utatafuta namna
  14. E

    Naombeni msaada, nahisi kukata tamaa ya maisha

    Wanaume naamini nitapata tu
Back
Top Bottom