Recent content by Eugen TZA

  1. Eugen TZA

    JamiiForums Tanzania All is Atom/Atum/Adam

    Mafikirio yote ya binadamu ni mbegu, Chunga sana unachowaza kisiwe kibaya, Ipo wazi apandaye uharibifu atavuna uharibifu Kila kitu linaanzia katika fikra. Dunia ni muunganiko wa nguvu kuu mbili, Kama ilivyo usiku na mchana, kike na kiume, Kufa na kuzaliwa fumbo ni (Electro-Magnetic) EL...
  2. Eugen TZA

    JamiiForums Tanzania Katika fumbo maumbo ni namba au ishara, Tafakari

    First of all... I don't cheat because I'am true. I don't lie because I'am not scared. I don't hate because I know. Kosa huzaa makosa... Sio mkweli ndio maana unadanganya. Unadanganya kwa sababu unaogopa. Unaogopa ndio maana unachukia. Unachukia kwa kuwa hujui. Kumbe... Usipokua mkweli...
  3. Eugen TZA

    JamiiForums Tanzania Takwimu: Talaka Marekani zashtua

    Takwimu nchini Marekani zinaonyesha kuwa kila baada ya sekunde 13 wanandoa nchini Marekani wanapeana talaka, Ripoti zinaeleza zaidi kuwa kila baada ya dakika mbili baada ya wanandoa kula kiapo wanapeana talaka, Matukio kama hayo yameripotiwa mara tisa nchini Marekani. Hii inamaanisha kila baada...
  4. Eugen TZA

    JamiiForums Tanzania Nasa kujenga nyumba juu mwezini 2040

    #KashindeUpdates Wakati baadhi ya watu wakiteseka Duniani kwa kutokua na makazi au nyumba za kuishi, Shirika la anga la Marekani NASA Wametangaza maazimio yao ya kujenga nyumba juu angani mwezini (Lunar Surface) ifikapo mwaka 2040 kwaajili ya makazi mapya ya binadamu. - Zitakua ni nyumba maalumu...
  5. Eugen TZA

    JamiiForums Tanzania Ufunuo umetimia "Elon Musk kuwekea watu (chip) kichwani" ubongo kuunganishwa na Kompyuta (Robotic World)

    Kwa wanavyoeleza Neurallink, Chip itakua inafanya kazi kama sehemu ya Ubongo Kumsaidia Binadamu kuperform some tasks bila kutumia mikono so sio kama Ubongo unaodolewa hapana, wanaconnect Ubongo na computer (link)
  6. Eugen TZA

    JamiiForums Tanzania Ufunuo umetimia "Elon Musk kuwekea watu (chip) kichwani" ubongo kuunganishwa na Kompyuta (Robotic World)

    Wewe mjanja unegundua nn mpaka sasa?
  7. Eugen TZA

    JamiiForums Tanzania Ufunuo umetimia "Elon Musk kuwekea watu (chip) kichwani" ubongo kuunganishwa na Kompyuta (Robotic World)

    Kwa hiyo ww unadhani watu watapigwa chapa usoni kweli kama mbuzi au kondoo? Revelation 13:18 Hapa ndipo penye hekima. Yeye aliye na akili, na aihesabu hesabu ya mnyama huyo; maana ni hesabu ya kibinadamu. Na hesabu yake ni mia sita, sitini na sita.
  8. Eugen TZA

    JamiiForums Tanzania Ufunuo umetimia "Elon Musk kuwekea watu (chip) kichwani" ubongo kuunganishwa na Kompyuta (Robotic World)

    Naye awafanya wote, wadogo kwa wakubwa, na matajiri kwa maskini, na walio huru kwa watumwa, watiwe chapa katika mkono wao wa kuume, au katika vipaji vya nyuso zao;
  9. Eugen TZA

    JamiiForums Tanzania Ufunuo umetimia "Elon Musk kuwekea watu (chip) kichwani" ubongo kuunganishwa na Kompyuta (Robotic World)

    KashindeUpdates Elon Musk kupitia program yake ya Biotechnology Startup Neurallink wamefungua milango kwa binadamu wanaohitaji kuwa wa kwanza kufanyiwa majaribio ya kuwekewa kibanzi (Chip) kichwani katika Ubongo ambayo itamsaidia mlengwa kutumia Ubongo wake kufanya vitu bila kushika, kulipa bili...
  10. Eugen TZA

    JamiiForums Tanzania Mabaki ya aliens yafanyiwa tafiti Mexico, Marekani watoa ripoti ya kwanza ya UFO's

    Adamu na Hawa nao walitokana na Nini?
  11. Eugen TZA

    JamiiForums Tanzania Mabaki ya aliens yafanyiwa tafiti Mexico, Marekani watoa ripoti ya kwanza ya UFO's

    Kama sijaelewa nimeandikaje? Nachokiamini ni kuwa binadamu ana pande mbili, roho ambaye ni mtu na mwili ambaye ndio binadamu, sokwe huenda naye akawa na roho but tofauti ni Consciousness
  12. Eugen TZA

    JamiiForums Tanzania Mabaki ya aliens yafanyiwa tafiti Mexico, Marekani watoa ripoti ya kwanza ya UFO's

    Kama binadamu katokana na sokwe, sokwe katokana na Ulimwengu ambao ni Mungu mwenyewe. Maana Mungu ni kila kitu.
  13. Eugen TZA

    JamiiForums Tanzania Mabaki ya aliens yafanyiwa tafiti Mexico, Marekani watoa ripoti ya kwanza ya UFO's

    Yaani kwa kurahisisha Binadamu ni mnyama bila Mtu [emoji23][emoji23][emoji23]
  14. Eugen TZA

    JamiiForums Tanzania Mabaki ya aliens yafanyiwa tafiti Mexico, Marekani watoa ripoti ya kwanza ya UFO's

    Adamu ni binadamu wa kwanza. Mtu wa kwanza hiyo ni theory nyingine [emoji23][emoji23][emoji23]
Back
Top Bottom