Mafikirio yote ya binadamu ni mbegu,
Chunga sana unachowaza kisiwe kibaya,
Ipo wazi apandaye uharibifu atavuna uharibifu
Kila kitu linaanzia katika fikra.
Dunia ni muunganiko wa nguvu kuu mbili,
Kama ilivyo usiku na mchana, kike na kiume,
Kufa na kuzaliwa fumbo ni (Electro-Magnetic)
EL...