Karibu shule zote za msingi hapa Dar zinachangisha michango ya mitihani kila wiki.Na kiwango chq pesa ni kuanzia 1000 hadi 2000 kutegemea tu na eneo husika.Lakini ukiondoa pesa hiyo ya mitihani ya kila wiki pia kuna pesa ya masomo ya asbh(Hii shule zingine huiita speed test)na kiwango ni kuanzia...
Naona mleta mada kajiingiza kwenye mabishano badala ya kuendelea na kazi yake.Sio kila swali linahitaji kujibiwa ukifanya hivyo unaenda kupoteza mwelekeo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.