we mñyakyusa àsante sana kwa darasa
ninyi wakina @Ndg.MWASALEMBA mmebarikiwa kujitolea sana katika kutoa elimu ya mambo ya kiuchumi pasipo malipo
kuna ndugu mmoja naye anaitwa MWASALEMBA, mwezi uliopita alitupa elimu adimu sana kuhusu ujasiriamali kwenye semina ya vijana hapa MBEYA HOMELAND...
Wewe mtu ni hatari sana
Naona hapo mwisho umedondosha nondo hatari sana jinsi ya kuroga biashara yako mwenyewe
I SALUTE YOU mkuu ZeMarcopolo
.made in mby city.
mkuu mshana jr natamani kuelewa hizo level mnazozizungumzia lakini nimetoka kapa
naomba mtufafanulie kwa mapana kidogo hizo level ili na sisi vichwa box tuweze kwenda na walimu wetu kikamilifu
Cc: yang
Cc: Apollo
Cc: mshana jr
karibuni wakuu.......
.made in mby city.
asante mkuu gota07 kwa kuja na kuona mapungufu tajwa hapo juu
tunahitaji mchango wako hapa jukwaani wa hadithi hii
pale penye mapungufu ongezea-ongezea nyama ili twende sawa pamoja
karibu mkuu.........
.made in mby city.
asante mkuu gota07 kwa kuja na kuona mapungufu tajwa hapo juu
tunahitaji mchango wako hapa jukwaani wa hadithi hii
pale penye mapungufu ongezea-ongezea nyama ili twende sawa pamoja
karibu mkuu.........
.made in mby city.
mm naona kama tumefungwa karibu kwenye kila jambo hapa ulimwenguni
ndio maana hata Sir Isaac newton alishawahi kusema
"".WHAT WE KNOW IS ONLY A DROP OF WATER AND WHAT WE DON'T IS AN OCEAN""
karibu utuelezee kwa mapana mkuu Apollo jinsi ww ulivyo itafasiri hiyo hadithi
.made in mby city.
aisee mkuu Apollo shukrani sana kwa hii hadithi
kiukweli imenifumbua macho kwa mapana
ubarikiwe mkuu
jamiiforums inahitaji mchango wa watu kama wewe mkuu Apollo
Cc: Kiranga
Cc: mkwesa makambo
Cc: Dreson4
Cc: mshana jr
Cc: FaizaFoxy
.made in mby city.
mkuu Mwamba028 habari yako ?
huyu ndugu yetu siyo mchoyo wa maharifa kama wajuzi wa mambo mengine
mkuu kama hautajali fanya kunitumia hivyo vitabu na mimi nipanue uelewa
ikiwezekana vi-upload hapahapa jukwaani
. made in mby city.
mkuu Apollo you deserve my like
shukrani sana kwa chakula cha ubongo na ubarikiwe sana kwa moyo wako mkunjufu
ni watu wachache sana wenye moyo kama wako wa kujitolea muda wao na kutoa elimu yakinifu kwa wa-tanzania wenzao bila ada yoyote
Cc: mshana jr
Cc: Monstgala
Cc: Kiranga
Cc: Dreson4
Cc...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.