always am a Winner
JF-Expert Member
- Nov 16, 2012
- 230
- 193
Wanajamvi, Kwanza napenda kumshukuru Mungu kwa nafasi hii aliyonipa ya uhai na afya tele kuweza kuleta swali hili kwenu.
Swali langu haliongelei kama inawezekana kila mtu akawa tajiri 'kiutendaji', la hasha. Bali je, logic inakubali kwa watu wote duniani kuwa matajiri bila kuacha masikini hata mmoja? au kwa wengine kuwa matajiri ni lazima kuwe na wahanga? (masikini)?
Nawasilisha.
Swali langu haliongelei kama inawezekana kila mtu akawa tajiri 'kiutendaji', la hasha. Bali je, logic inakubali kwa watu wote duniani kuwa matajiri bila kuacha masikini hata mmoja? au kwa wengine kuwa matajiri ni lazima kuwe na wahanga? (masikini)?
Nawasilisha.