Recent content by esuphati

  1. E

    Bunge Maalum linajadili Rasimu ipi?

    Mimi naona wenye uzalendo wa nchi yetu na uchungu ni wale waliobaki bungeni. Hawa UKAWA SI LOLOTE NA WALA SI CHOCHOTE. KWAO WANANCHI KUUWAWA ILI WAPATE MADARAKA NDIYO JAMBO LA MAANA. NIJUAVYO MIE HOJA HUJIBIWA KWA HOJA NA ASKARI ANAEKIMBIA VITA SI MZALENDO WA KWELI BALI NI MBABAISHAJI TU...
  2. E

    Mathias Manga ametangaza nia ya kugombea ubunge 2015

    manga songa mbele Kwanzaa mbele asikutishe mtu NA degree maana wengi wao wamedsco hawana lolote NA ndio maana wamelifanya bunged letu the comedy. walioanza ligi NA wewe hawajiamini tuko NA wewe songa mbeleeeeeeeeeee matius kurudi nyuma mwiko mungu Yukon NA wewe tunakuombea mpendwa
  3. E

    Makamu wa Rais Dk. Bilal, Afande Kova, Mkuu wa Mkoa wa Dar na Dk. Magufuli wanusurika ajali ya helikopta

    MUNGU TUNAKUSHURU SANA KWA KUWANUSURU VIONGOZI WETU Ndugu watanzania wenzetu naomba tuwaombee viongozi hawa wapone haraka. Kwa wanaoshangilia naomba mungu awasaehe kwani hawajui wasemayo
  4. E

    Kura ya Maoni: Muundo upi wa Muungano unafaa?

    SERIKALI MBILI NDIYO MPANGO MZIMA WANZANIA TUSIKUBALI KUUVUNJA MUUNGANO WETU. Wananchi wenzangu naomba niwaase kwamba tudumishe Serikali mbili kwani waotaka kinyume chake hawana lengo jema kwetu wameshapokea ujira Toka Kwa weupe NA wengine wanaona Kuwait serikali tatu zitawapa fursa...
  5. E

    Riziwani usirudie tena mawazo kama haya, wenye akili wanakushangaa

    Mbunge mteule Wa Jimbo la Chalinze mhe. Ridhiwani Jakaya Mrisho Halfani Kikwete hakukosea kusema kwamba endapo ajali zitatokea kabla ya kupanua miundo mbinu ya barabata atahakikisha Kuwait majeruhi watatibiwa pale ajali zinapotokea. Hii ni busara maana unapsema eti ni akili ndogo akili kubwa...
  6. E

    tetesi:CHADEMA wauza jimbo la Chalinze, wamshabikia Ridhiwani

    CHAMA CHA MAPINDUZI CCM KITADUMU MIMI BAADA YA KUONA SARAKASI BUNGENI NIMEGUNDUA KWAMBA Nchi hii ni vyema CCM iendelee kuaminiwa kutuongoza kwani vyama vya mifukoni mwa baadhi ya watu havitatufikisha popote wanachotaka ni kuinajisi ardhi yetu. Hatutaki na kwa kweli tunakemea mambo hayo kwa...
  7. E

    CHADEMA wamtelekeza mgombea Ubunge wao Chalinze

    ்Ndugu zangu watanzanIanIa wenzangu mie mwenzenua nasema kinaga ubaga kwamba chadomo nine Chapman chenye nia mbaya na umoja na mshikamano wetu. hii ni Saccos ya wajanja wachache tusiwaamini kabisa maana wanataka kututumia ili waweze kupata dola kwa maslahi yao binafsi angalieni libya...
  8. E

    Kura ya Maoni: Muundo upi wa Muungano unafaa?

    Serikali mbili msimamo wananchi wenzangu tusikubali kuhadaika na waru waliopewa mabilioni na mataifa ta wazungu lea lengo lao ní kuvuruga umoja na mshikamano tulionao ndani ya Taifa letu. Endapo tutawapatia fursa ya serikali tátu jana watakavyo tutapekekea dámu kumwagika kama mataifa mengine na...
  9. E

    Kura ya Maoni: Muundo upi wa Muungano unafaa?

    JK katufungua wengi maana tulichanganyikiwa baada ya Warioba kuwasilisha rasimu ya pili ya katiba kwa hiyo na wewe unapaswa kuwa mwelewa katika jambo hili muhimu lea mstakabali wa nchi yetu na watu wake ndani ya jamhuri ya muungano wa Tanzania. Mungu obstojí Tanzania Mungu mbariki JK na...
  10. E

    Nini msimamo wako kama mtanzania. Serikali,mbili au tatu

    Nimi nampongeza sama JK lea hotuba yake ya karne ametueleza hasara za serili tátu na faida za serikali mbili. Kwamba mbili changamoto zake zinazungumzika na gharama zake ní nafuu sana ukilinganisha na serikali tátu.
  11. E

    CHADEMA nakupenda toka moyoni

    Kikwete bába ye.tu mpendwa hongera sama lea kutupatia somo muhimu sama ama lea hákika leo umemaliza kazí Sisi wazalendo wenzio umetufungua akili zetu umetuonyesha njia hákika tunaahidi hatutakuangusha mkuu
  12. E

    Kura ya Maoni: Muundo upi wa Muungano unafaa?

    Mimo chaguo langu na wanaotutakia nemá ndani ta taifa letu tuchague mfumo wa serikali mbili kwani changamoto zake zinazungumzika. Tusikubali kudanganywa na watu wanaopewa fedha na wazungu kwani lengo Kao ní kuturudisha kwenye. Ukoloni. Tuwakatae kama. Raid mugabe alivyo simama.
  13. E

    Siri ya Kalenga CHADEMA yafichuka

    CCM wakati watalii wanatembea Angani weed somamia serikali iwatendee haki watanzania kwenye Maendeleo kwa ukweli tumeujua
Back
Top Bottom