ifweero
JF-Expert Member
- Jun 12, 2013
- 7,957
- 1,341
Kipigo cha kalenga kimewachanganya sawa sawa, chalinze vipiNimeona nitoe hisia zangu hata kwa kilugha nikimaanisha Chadema nakupenda toka moyoni.
Niko tayari kufa kuliko kukisaliti chadema na kila mwenye kukisaliti basi Mungu hayupo upande wake.
Chadema ni:
..mkombozi wa mtanzania
...mtetezi wa wanyonge
...mwanzilishi wa demokrasia
...kiboko ya mafisadi na mafisidi
...kisiwa cha haki na amani
....mpenda maendeleo
Vijana wanaojitambua karibuni CHADEMA.