Bm_boy
JF-Expert Member
- Oct 21, 2013
- 547
- 348
no zitto no cdm
Jidanganye..
no zitto no cdm
Hii n sakos ya wachaga, walisema hata wabak wawili!
bila zito chadema inayumba
wazazi wako umewaambia hivi? domo lile...
chadema wamuombe msamaha zito la sivyo saccos ya mtei itakufa
Dah? maskini bavicha sijui kimewapata kitu gani?
wazazi wako umewaambia hivi? domo lile...
Khaa!! Wala siyo hivyo. CUF ilikuwa na malengo yake na CDM inayo yake. CDM si chama cha siasa bali mi taasisi ya mtu binafsi yenye malengo binafsi. Kwa sababu ya choyo ndiyo maana ina maadui wengi sana... CCM, CUF, ZZK, KTL, MWGB etc. Wako radhi wabaki watatu Mtei, Mbowe na Lema kuliko kujenga chama. RIPha ha ha haaaaaaaa, siipendi ccm, ila naifaamu vizuri ccm siku ilivyosemaga "hatuwezi kuachia nchi kwa makaratasi" cuf ilikuwa vizuri sana ila mwisho wa siku zikapijwa salakasi za ajabu na hapo ndipo nilipoacha na biashara ya siasa za kibongo,
ni kazi ndogo sana lakini tunatakiwa wapinzani tujipange tuunde chama kimoja chakujitegemea chenye nguvu kama nchi za wenzetu zilizofanya hivyo...
Khaa!! Wala siyo hivyo. CUF ilikuwa na malengo yake na CDM inayo yake. CDM si chama cha siasa bali mi taasisi ya mtu binafsi yenye malengo binafsi. Kwa sababu ya choyo ndiyo maana ina maadui wengi sana... CCM, CUF, ZZK, KTL, MWGB etc. Wako radhi wabaki watatu Mtei, Mbowe na Lema kuliko kujenga chama. RIP