Recent content by estlyjonathan

  1. E

    Bora aende

    Habari zenu leo ni muendelezo wa yule kaka king'ang'anizi. Nimeamua kumuacha ili nisije kumuumiza huko mbele ya safari. Nimechukuwa maamuzi hayo kutokana na mwanzo wa mahusiano yetu aliniambia kuwa ana mwanamke anaishi naye ingawa sina uwakika maana mida ya usiku kwenye kuongea ananipa nafasi...
  2. E

    Roho inasita kumpatia mpenzi wangu Zawadi

    Habari zenu, Kama kichwa cha habari kinavyosomeka ni miezi minne (4) sasa tangu tuanzishe mahusiano na huyu Kaka kuna zawadi nilinunua kumpatia tangu niinunue mpaka leo ninayo na sijampa na moyo wangu nikitaka kumpa hautaki kabisa tatizo sijui liko wapi? ila huyu kaka kunipenda ananipenda...
  3. E

    Ananipenda lakini hayuko moyoni

    Habari zenu, Kuna kaka mmoja kitaani ananipenda kinyama na nilishamwambia kuwa mimi sikuhitaji afanye maisha yake ila hakomi meseji kama zote yani naweza tukatoka wote nikamgombeza weee hadi huruma yani kawa kinganganizi nam-block anapiga namba nyingine, yani kutoka moyoni simpendi simpendi...
  4. E

    Dada yangu simuelewi

    Habari zenu wadau, Hii itakuwa mara yangu ya mwanzo na ya mwisho kuandika hii stori.... kama mnakumbuka niliwaambia hii stori kuhusu kaka wa kitanga shoo yake ilivyokuwa usiku mmoja muendelezo uko kama ifuatavyo; Jumapili ya juzi nilipigiwa simu na dada kama kawaida alikuwa anahitaji niende...
  5. E

    Muendelezo: Mimi ni yule dada niliyetoka out na kaka wa Kitanga....

    Mimi ni yule dada niliyetoka out na kaka wa Kitanga.... Hivi swali langu ambalo nililokuwa najiuliza kwa nini huyu kaka anapenda kumtumia shemeji yangu na kuniulizia kama naendeleaje, au kama nilifika kwa shemeji yangu. Jana jioni nilimpigia dada simu na kumwambia kama ntaenda kwake mana kuna...
  6. E

    Huyu Kaka Kaniweza

    Harufu iliyobakia ni ya kwako
  7. E

    Huyu Kaka Kaniweza

    Mkuu nilioga kwake wakati tumemaliza shoo, una lingine la kuniuliza?
  8. E

    Huyu Kaka Kaniweza

    Jamani acheni utani Tanga raha, nilikutana na huyu kaka sehemu anapoishi Dada yangu toka siku hiyo nilikuwa namuona mtu tu wa kawaida huwa akifika pale kwa dada anatabia ya kumwambia anipigie simu ili niende kwa ajili ya kunywa bia na mara nyingi huwa siendagi ni mara moja sana huwa naenda kama...
  9. E

    Ni kweli ukichora tattoo huwezi kumchangia mtu damu?

    Habari zenu Hivi ni kweli unapokuwa umechora tattoo mwilini kuna uwezekano wa kumtolea mtu damu? Mana nimesikia unapokuwa na Tattoo uwezi kumtolea mtu Damu...
  10. E

    Moyo unaniuma nikimkumbuka

    Habari zenu wanazengo.... Mimi ni Mama mwenye mtoto mmoja kwa bahati mbaya mzazi mwezangu alishafariki toka mwezi wa 6 mwaka huu, toka alivyofariki moyo wangu unaniuma na mara nyingi huwa namkumbuka nabaki kulia sana miaka kadhaa iliyopita tulitengana kila mtu alikuwa na maisha yake na mahusiano...
  11. E

    Huyu mtu sijamuelewa

    Kuna Kaka mmoja kanitokea anasema ananipenda na kwa upande wangu huyu jamaa nilikuwa nampenda zamani hizo ila sikumwambia sasa kajileta mwenyewe, na huyu kaka ana mwanamke anaishi nae na wana mtoto nilichomwambia kuwa kama unahitaji kuwa na mimi aachane na baby mama wake ndo tuta make love...
  12. E

    Mpenzi wangu ana maumbile madogo(kibamia), haniridhishi...

    Nipo kwenye mahusiano mapya tatizo huyu mpenzi wangu ana kibamia yani tukifanya leo hata magoli 100 kesho tena na hamu yani hata sielewi nabaki kumkumbuka yule X naombeni ushauri jamani sielewi
  13. E

    Niko Njia Panda Nahitaji mawazo yenu

    Nafanya kazi sehemu flani, nilikutana na huyu kaka kazini ni mtu anayenijali alishawahi kunisaidia kama pesa n.k hakuwahi kunitamkia kama ananipenda ila kuna vimaswali huwa ananiuliza kama hivi, (miaka ndo inaenda hivyo) hili swali bado sijaelewa huwa kamaanisha nini tulishawahi kupanga tutoke...
  14. E

    Nahitaji gari aina ya Vitz

    Habari zenu, natafuta gari ndogo aina ya Vitz au Duet namba B ela niliyokuwa nayo kuanzia Milioni 3 kwa ambaye analo ajitokeze na gari iwe kwenye hali nzuri.
  15. E

    Mpenzi wangu anakataa tuachane

    Habari zenu, Kila nikijaribu kuachana na mpenzi wangu inakuwa ni ngumu sijui tatizo ni nini kuachana kwangu mi na yeye kutokana na vitabia vya ajabu yani kwanza ataanza kunisumbua kwenye simu mpaka basi mwisho wa siku anabaki kuomba samahani.
Back
Top Bottom