Recent content by essaumgimba

  1. E

    Being in Njombe, ushawahi ishi, soma, fanyia kazi au hata kupita maeneo haya?

    daah wakuu aliyeleta huu uzi amenikumbusha mbali wakat nipo boarding ruhuji chakula shuleni kibovu hela ya ada ikaishia mwifunyi restaurant
  2. E

    Being in Njombe, ushawahi ishi, soma, fanyia kazi au hata kupita maeneo haya?

    nishasoma njombe shule moja inaitwa ruhuji ipo ramadhani..
  3. E

    Who is Said Salim Bakhresa (Azam)?

    bila shaka umesoma gazet ya udaku..na stor zao za uongo kuuza gazet
  4. E

    Kilimo cha vitunguu (saumu na maji): Ushauri na Masoko

    ajira ipo shamban siku hizi
  5. E

    Hatimae chipsi nazo zapanda bei

    mkuu lazima chips zipande bei kwan viaz sahz ni ghali sana.huku mbeya kiaz kg 100 ni elf 75 na kwa hapo dar kiaz kg 100 ni sh 150000
  6. E

    Mtaji wa Tsh. Milioni 1 hadi 5: Naweza kufanya Biashara gani Tanzania?

    Lima kitunguu huku kawetele mbeya.wekeza kama mil 1 tu.trust me uwez kosa mil 8 kinakubali sana mkuu. lima hekali 2 tu
  7. E

    Msaada: Naomba kujua bei ya Water pump

    mwenye kujua bei ya Walter pump please
  8. E

    200 Mil biashara gani ya kunilipa fasta

    ingia kwenye biashara ya mazao mkuu itakutoa fasta
  9. E

    Kilimo cha vitunguu (saumu na maji): Ushauri na Masoko

    mkuu Lima kitunguu tu hapo.mpunga risk mvua ikizidi tatizo ukiwa chache tatizo
  10. E

    Mabilionea wa Mwanza respect and silence

    erick j shigongo bilionea wakisukuma
  11. E

    Matajiri, Watoto wa Mjini, Wababe na Wafanyabiashara wa Kilimanjaro na Arusha

    daah moshi kuna fulsa kibao..karoti yao ipo sokoni sana.kia,z ndyo usiseme..ndyo maana mabilionea weng
  12. E

    Tetesi: Startimes kuonesha EPL baada ya siku 11 zijazo

    star times wazushi tu itakua bado siku 11 tamthilia mpya itoke
Back
Top Bottom