Recent content by Espoir_jnr

  1. Espoir_jnr

    JamiiForums Tanzania Kwanini nyumba nyingi Tanzania zina mabati marefu?

    Kweli kabisa.
  2. Espoir_jnr

    JamiiForums Tanzania Kwanini nyumba nyingi Tanzania zina mabati marefu?

    Nilikua Zanzibar nikauliza hili swala la mtu kujenga jumba kubwa na paa refu. Na jibu nililopewa nilitegemea cause sio watu waliokua exposed sana na ujenzi wa wenzetu. Zambia, Zimbabwe, South Africa, Botswana na Namibia watu wanajenga vizuri sana. Nyumba za wastani na paa sio refu na ni nzuri...
  3. Espoir_jnr

    JamiiForums Tanzania Kiuhalisia hakuna hata haja ya binadamu kuja duniani...

    Maisha yana maana na pia hayana maana wakati mwengine. Don’t stress, And take it easy.
  4. Espoir_jnr

    JamiiForums Tanzania Hivi inawezekana Tanzania kuingia mikataba ya 'Visa-Free' na nchi zilizoendelea kama Japan? nini athari zake?

    Wana-JF salamu, Nimekuwa nikitafakari kuhusu diplomasia yetu ya kimataifa na nguvu ya pasipoti yetu. Swali langu kuu ni: Je, nchi mbili zinaweza kukubaliana kufuta kabisa masharti ya Visa (Bilateral Visa Waiver Agreement) ili wananchi wake watembee kwa uhuru? Kwa mfano, ikitokea Tanzania na...
  5. Espoir_jnr

    JamiiForums Tanzania Ili uwe 'Mzee wa Dar es Salaam' inatakiwa uwe na sifa zipi?

    Uwe mnafiki na mpindisha ukweli.
  6. Espoir_jnr

    JamiiForums Tanzania KERO UDSM Wafunga Vyoo vya Umma Kutokana na Ukosefu wa Maji

    Kwani Udsm haiwezi kuchimba visima vyake, Ikawa inajitosheleza yenyewe?
  7. Espoir_jnr

    JamiiForums Tanzania Jinsi ya kupika vitumbua

    Mwaka wa 6 huu, Sijala vitumbua. Nimejaribu kutafuta kwenye stores na pia kuulizia hizi frying pan za vitumbua lakini nimekosa. Options nilizopewa nitafute mtu anitengenezee au ninunue kutoka Tanzania.
  8. Espoir_jnr

    JamiiForums Tanzania Hili bango linatukebehi wana Dar

    Inasikitisha nchi Za Middle East na North africa zote zipo jangwani au nusu jangwani pamoja na Namibia, Botswana na baadhi ya maeneo ya Afrika kusini. Na hakuna mambo ya kwamba watu hawana maji.
  9. Espoir_jnr

    JamiiForums Tanzania Hili bango linatukebehi wana Dar

    Nipo Namibia ni jangwani lakini hakuna ukame wa kwamba watu hawana maji ya kutumia. Tanzania upuuzi ni mwingi sana.
  10. Espoir_jnr

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Mfadhili wa Kiarabu awang'ang'ania watoto wa kike wa Kimasai kwa miaka kumi na hataki kuwarudisha makwao

    Miaka mitatu ufadhili gani wa masomo? Sawa ngoja tujizime data na sisi, Ulikua ufadhili wa masomo kwa watoto wa miaka mitatu. Lakini bado kuna maswali mengi ambayo tunabaki nayo. Hapo katikati wazazi walikua wakienda kuwaona watoto na wakijua wanaendeleaje? Au ndio baada ya kupita miaka 10?
  11. Espoir_jnr

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Hawatoshi kutufanya vijana tukavuruga Taifa letu

    Anachosema ni kweli, Na kwa rasilimali Zinazochezewa, Baadhi anavyosema ni bare minimum. Kama mambo ya bima za afya, Umeme kukatika na Government schools.
  12. Espoir_jnr

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Live zinazofuata tuweke watu wa kututafutia fursa za masoko nje, na sisi watz tuungane kwenye kilimo, wasikae tu nje bila umuhimu wowote

    Balozi wa Tanzania - Afrika kusini, Ndie Balozi ambaye anafanya vitu kama hivyo. Ila hawa wengine mtihani mtupu.
  13. Espoir_jnr

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Mama once said 'waandamanaji walipewa hela' mwanzo sikumwamini sasa namuelewa

    Na hilo liende sambamba na wewe kuamini kuwa. Kuna watu wanapewa hela ili wateke na kudumisha maslahi ya wachache.
Back
Top Bottom