Recent content by Espoir_jnr

  1. Espoir_jnr

    JamiiForums Tanzania Ili uwe 'Mzee wa Dar es Salaam' inatakiwa uwe na sifa zipi?

    Uwe mnafiki na mpindisha ukweli.
  2. Espoir_jnr

    JamiiForums Tanzania KERO UDSM Wafunga Vyoo vya Umma Kutokana na Ukosefu wa Maji

    Kwani Udsm haiwezi kuchimba visima vyake, Ikawa inajitosheleza yenyewe?
  3. Espoir_jnr

    JamiiForums Tanzania Jinsi ya kupika vitumbua

    Mwaka wa 6 huu, Sijala vitumbua. Nimejaribu kutafuta kwenye stores na pia kuulizia hizi frying pan za vitumbua lakini nimekosa. Options nilizopewa nitafute mtu anitengenezee au ninunue kutoka Tanzania.
  4. Espoir_jnr

    JamiiForums Tanzania Hili bango linatukebehi wana Dar

    Inasikitisha nchi Za Middle East na North africa zote zipo jangwani au nusu jangwani pamoja na Namibia, Botswana na baadhi ya maeneo ya Afrika kusini. Na hakuna mambo ya kwamba watu hawana maji.
  5. Espoir_jnr

    JamiiForums Tanzania Hili bango linatukebehi wana Dar

    Nipo Namibia ni jangwani lakini hakuna ukame wa kwamba watu hawana maji ya kutumia. Tanzania upuuzi ni mwingi sana.
  6. Espoir_jnr

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Mfadhili wa Kiarabu awang'ang'ania watoto wa kike wa Kimasai kwa miaka kumi na hataki kuwarudisha makwao

    Miaka mitatu ufadhili gani wa masomo? Sawa ngoja tujizime data na sisi, Ulikua ufadhili wa masomo kwa watoto wa miaka mitatu. Lakini bado kuna maswali mengi ambayo tunabaki nayo. Hapo katikati wazazi walikua wakienda kuwaona watoto na wakijua wanaendeleaje? Au ndio baada ya kupita miaka 10?
  7. Espoir_jnr

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Hawatoshi kutufanya vijana tukavuruga Taifa letu

    Anachosema ni kweli, Na kwa rasilimali Zinazochezewa, Baadhi anavyosema ni bare minimum. Kama mambo ya bima za afya, Umeme kukatika na Government schools.
  8. Espoir_jnr

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Live zinazofuata tuweke watu wa kututafutia fursa za masoko nje, na sisi watz tuungane kwenye kilimo, wasikae tu nje bila umuhimu wowote

    Balozi wa Tanzania - Afrika kusini, Ndie Balozi ambaye anafanya vitu kama hivyo. Ila hawa wengine mtihani mtupu.
  9. Espoir_jnr

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Mama once said 'waandamanaji walipewa hela' mwanzo sikumwamini sasa namuelewa

    Na hilo liende sambamba na wewe kuamini kuwa. Kuna watu wanapewa hela ili wateke na kudumisha maslahi ya wachache.
  10. Espoir_jnr

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Live zinazofuata tuweke watu wa kututafutia fursa za masoko nje, na sisi watz tuungane kwenye kilimo, wasikae tu nje bila umuhimu wowote

    Nipe yule dada yako wa kisomali basi, Nikapate Permanent residence kule.
  11. Espoir_jnr

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Live zinazofuata tuweke watu wa kututafutia fursa za masoko nje, na sisi watz tuungane kwenye kilimo, wasikae tu nje bila umuhimu wowote

    Ki vipi? Watanzania wakiwa wengi nje huoni kama nchi itafaidika sana. Remittances, Uwekezaji na pia Literacy & Exposure ya wananchi itakua juu.
  12. Espoir_jnr

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Live zinazofuata tuweke watu wa kututafutia fursa za masoko nje, na sisi watz tuungane kwenye kilimo, wasikae tu nje bila umuhimu wowote

    Ni kweli nje mambo sio marahisi kama watu wanavyodhani. Lakini kupeana elimu na maarifa inaweza saidia, Sio lazima mtu umsaidie ki fedha.
  13. Espoir_jnr

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Live zinazofuata tuweke watu wa kututafutia fursa za masoko nje, na sisi watz tuungane kwenye kilimo, wasikae tu nje bila umuhimu wowote

    Somalis, Kenyans and Nigerians wapo vizuri sana katika kupeana fursa za kutoka kwenda nje. Lakini sisi, Kila mtu anataka kusimama yeye kama yeye. Hatuwezi fika mbali kwa style hii.
  14. Espoir_jnr

    JamiiForums Tanzania Tanzania yashika namba 12 kwenye orodha ya nchi 30 ambazo wananchi wake hawana furaha zaidi duniani

    Mimi naishi huku full time, Mwaka wa 6+. Nawajua vizuri sana.
Back
Top Bottom