Mwaka wa 6 huu, Sijala vitumbua.
Nimejaribu kutafuta kwenye stores na pia kuulizia hizi frying pan za vitumbua lakini nimekosa.
Options nilizopewa nitafute mtu anitengenezee au ninunue kutoka Tanzania.
Inasikitisha nchi Za Middle East na North africa zote zipo jangwani au nusu jangwani pamoja na Namibia, Botswana na baadhi ya maeneo ya Afrika kusini.
Na hakuna mambo ya kwamba watu hawana maji.
Miaka mitatu ufadhili gani wa masomo?
Sawa ngoja tujizime data na sisi, Ulikua ufadhili wa masomo kwa watoto wa miaka mitatu.
Lakini bado kuna maswali mengi ambayo tunabaki nayo.
Hapo katikati wazazi walikua wakienda kuwaona watoto na wakijua wanaendeleaje? Au ndio baada ya kupita miaka 10?
Anachosema ni kweli, Na kwa rasilimali Zinazochezewa, Baadhi anavyosema ni bare minimum.
Kama mambo ya bima za afya, Umeme kukatika na Government schools.
Somalis, Kenyans and Nigerians wapo vizuri sana katika kupeana fursa za kutoka kwenda nje.
Lakini sisi, Kila mtu anataka kusimama yeye kama yeye.
Hatuwezi fika mbali kwa style hii.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.