Dhambi ya usaliti na ubaguzi itawatafuna tuuu. Ipo siku mtaliamini hili. Zitto ataondoka na wengi sana waliokua nyuma yake. Litadhihirika hivi punde. Mungu hamtupi Mtu mwenye dhamira ya kweli.
Kidia one huwa inaenda arusha lakini akaanzisha ruti ya mwanza. Haina hata mwezi njiahii ya kati. Mabasi uanakimbia sana na hawazingatii sheria hasa katika kuovateki. Jamani mtatumaliza
siku zote ukweli unauma. Vyama vya upinzani vinataka serikali 3 kwa maslahi yao binafsi hasa ya uroho wa madaraka. Jk aliyoyaeleza niya msingi saana. Jaman tuweke utaifa mbele tusipelekwe kama bendera fuata upepo.
mfumo wa maisha ulivyo, huwezi kumridhisha kila binadam kwa sababu kila mmoja anamatakwa yake. Na huwezi kupendwa na kukubalika na kila mtu. Kwa hyo kwa anaemsifia jk yupo sawa na anaemponda yupo sawa kwa sababu ndio maisha yalivyo
Ndugu wana jamvi. Mkitaka kujua kwa sasa hamna wazalendo, ni katika posho za wabunge huko Dodoma. Hata wale wanaojidai ni wazalendo, katika hili utaona hawapigi kelele. Ndugu zangu tuweni makini sana na viongozi wetu hawa waliojaa tamaa. Mi sidhani kama kuna mzalendo pale. Wooote wanataka posho...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.