Eneo lenye ukubwa wa ekari 3, lipo usagara Mwanza. Lina nyumba ya slopu ya vyumba 3,pia banda la kufugia kuku la kisasa lenye uwezo wa kutunza kuku 600, lina choo pia. Bei nafuu sana.
Mawasiliano: 0784315728
Ukiona msemaji wa chama anakiuka misingi na taratibu za chama (kama misingi ipo na taratibu zipo) kusema lolote kwa vyovyote bila kukemewa,ujue nyuma yake kuna kundi Fulani au mtu fulani mwenye nguvu katika chama.
Hii ni hatari kwa ukuaji na ustawi wa chama,na haraka hupoteza mvuto wa chama...
Ingekuwa vizuri kama "uovu" wa lowasa ulioutaja ungeuambatanisha na vielelezo, nadhani huyo bwana na wasomaji wengine wangeweza kuchangia mada yako bila ushabiki. Kwa jinsi ulivyomkashifu mwenzio huku ukiwa umeleta mada yenye uovu usio na ushahidi ni dhahiri mada yako ina lengo la kuzidi...
Kwa mujibu wa taarifa ya wawakilishi wa taasisi za dini katika bunge maalum la katiba iliyotolewa kwenye vyombo vya habari,bunge maalum la katiba linajadili rasimu tofauti na iliyopendekezwa na tume ya jaji warioba. Kwenye taarifa yao chini ya kichwa "WARAKA MWINGINE UNAJADILIWA NA SI RASIMU YA...
Acha kudanganya wewe shigegele, hata jina la somo hujui,hakuna public relation kuna public relations, mwalimu wa PR aliyekuwepo ni SILAA na si SLAA,na hayupo SAUT tangu november 15,2013.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.