Hao Standard Chartered walitakiwa wakaidai Mechmar walioikopesha na si IPTL wala TANESCO. N akisheria Mechmar imefilisika, STANDARD CHARTERS wanaatakiwa wadai Insurance lakini badala yake wanakuja kuidai TANESCO kwa kuwa tu TANESCO wamelala doro.
Wamelala doro kwa kuwa wangenunua wao wenyewe kwa mkopo mitambo mizuri zaidi ya hiyo na mpaka sasa deni lingekuwa limekwisha zzamani na umeme kushuka bei.
TANESCO walikuwa wanajifikiria matumbo yao tu mpaka Kikwete alipokuja na kubadilisha mambo kwa kuamua kununuwa mitambo yetu wenyewe na si kukodisha tena, Kinyerezi I, II, III na IV.
Kudos Kikwete.