Recent content by eshghusaak

  1. eshghusaak

    Baada ya Kim kardashian sasa Amber Rose

    wanatafta market hhaha waendeshe maisha
  2. eshghusaak

    Wahindi wanamiliki uchumi wa Tanzania kwa asilimia 90% kwa sababu zipi??

    hebu hamshangai kwann mandela aliwakubali wazungu kwa ajili alijuwa bila wazungu south icngekuwa km ulaya leo so na nyinyi acheni ubinafc fikirieni mbele watoto wenu wale raha co kukaa ukolini na maneno ya maenzi
  3. eshghusaak

    Wahindi wanamiliki uchumi wa Tanzania kwa asilimia 90% kwa sababu zipi??

    yaani mna 10% na mnaharibu nchi hv bora hata hiyo 10% muwape hao wahindi mnaishi kwa kula tu co kuendeleza mm nashauri muwakabidhi 100% haswa muone nchi itakavyoendelea hahaha
  4. eshghusaak

    Umri sahihi wa kufunga ndoa

    nimekupa jibu hutaki sasa cjui unataka jibu gani la kuowa au kuolewa
  5. eshghusaak

    Umri sahihi wa kufunga ndoa

    km jibu ulikuwa unalijuwa ya nn kuuliza hahahaha..
  6. eshghusaak

    Mtoto kuanza kuota meno ya juu kuna shida yeyote kiafya?

    hakuna shida kawaida ila yanaweza kuwa co strong ukubwani
  7. eshghusaak

    Umri sahihi wa kufunga ndoa

    unapoona unataka kufanya tendo la ndoa bas owa au olewa co kukaa kuruka ruka na dunia
  8. eshghusaak

    Uhusiano wa namba hizi na majini,Shetani ....

    mmmh shetan au jini atumie cm 4 what hahaaa umeamua kuwapumbaza watu😂
  9. eshghusaak

    Baba amtoboa macho bintiye wa miaka 12 kisha naye kujinyonga

    daah jaman wazee wengine km hamuwez majukum na maisha mczaee. ugomvi wenu mnawaingiza watoto ndo mwisho wake huo
  10. eshghusaak

    Mwanaume kukata kiuno hii ikojee?

    ni sawa na dada yake
  11. eshghusaak

    Vitu vinavyowafanya wanawake watoe harufu nzito wakati wa kufanya mapenzi

    hahaaa.. hakuna lolote muhim usafi tu toka utoton ufundishwe kutawaza
  12. eshghusaak

    Ni keki...!!!

    mbona bi haruc kanuna km hajapenda hahaha
  13. eshghusaak

    Al Shabab Safe House in Tanzania?

    wazungu wanawatia ujinga sana na km wao wanawapeni tahadhari y waczuie tu wanatupa tahadhar 4 wat wajinga tu
  14. eshghusaak

    katoto kazuri jamani...eti kanafanana na nani?

    kachunaa mashallaah
Back
Top Bottom