Wakenya wanajitahidi kwa kufanya kila ufataani waiingize Tanzania kwenye hili janga walilojiingiza.
Mnalo hilo.
mchawi aliyekuroga mtafute. kulala na kuamka ni kenya. cheo chako kama barozi mteulewa alsha......b tz umekiifadhi tu.
Arusha, mwanza,zanzibari mmeshabulia tayari, mmebanwa na govt ya tz.......kiasi .......!!!! najua mnapika mapya.....
Naona huwajuwi Wasomali, hata walipowakong'ota west gate mall, hero akawa huyo huyo Msomali! umesahau? ilikuwa ujifunze kitu kwa lile tukio. Majeshi yenu yaliishia kuwa looters, Msomali aka Warrior mmoja akawa hero wa west gate. Imagine.
We ni shetani. Unasifia mambo gani tena ?