Nimeona wengi wa wananchi wakipongeza kauli ya Nchimbi kuhusu conflicts za vyama. Na hii ndo kawaida ya wanongo kuingia king kwa Mkono wa kushoto. Binafsi napinga maana kama ni kelele zilipigwa za kutosha kabla ya uchanguzi na mtu yeyote mpenda haki huo ndo ulikuwa muda muafaka wa kusimama na...
Chura nwenyewe analijua hilo ndo maana kwenye maji hakai wala shimoni. Ngoma ngumu we sela ICC procedures zao ni za kuvuta miguu ni hawakurupuki mir ningekuwa chura ningejifunza kukaa juu ya mti
Wewe ulimaliza la saba kweli? This is amounting to her exit . Home unaona kakataliwa na kila anapoenda akataliwe unadhani hiyo kahaba wako atafanya kazi na nani ? Do you know why wanatafutabkukubalika hata kwa pesa ? Oooh may be this is abstract to you . Kula chuma
Wewe ni Tui la nazi ama kitu kingine . Unamchamba mwenzio huku hata hujui maana ya incumbent president. Kati ya waliotajwa na huyo unaemtetea ni yupi incumbent. Kabla kujibu ujitambulishe kwanza we ni tui gani pls
Kunguru hafugiki . Huyu bi msumi alijitahidi kuihadaa jumuiabyabkimataifa akang’aa ng’aa mwisho kaharibu kali ya hewa mazima to the point of no return . GBP exchange rate imegonga 3500 ilikuwa haivuki 3000 which means tuko njia ya zimbabwe one way bila kugeuka
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.