Recent content by Escrowseal1

  1. Escrowseal1

    JamiiForums Tanzania Pongezi kwa Mkurugenzi wa TTCL, Moremi Marwa, kwa juhudi kubwa za usambazaji wa fiber internet mitaani, yenye bei nafuu na kasi kubwa

    Wangemwingiza starlink washindane Mwafrika ana matatizo hasa kwenye management . Mimi nimekua tukichukua huduma ya simu za waya ukienda ku print statement mwisho wa mwezi unaweza kuzimia. Hayo watawekeza mwisho utasikia wamempa Rostam bure na wanasiasa wakuchuta nyuma nyuma . African inaitwa curse
  2. Escrowseal1

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Jaji Warioba: Naamini Vifo vya Oktoba 29 vilikuwa vingi zaidi kuliko wanavyosema

    The suspect number moja ndo analeta tatizo Tanzania . Hii kitu haiwezekani bila pressure ya UN na ICC , ameonyesha madhaifu mengi tangu maandalizi ya uchaguzi, mauaji na baada ya uchaguzi. Yuko tayari kuning’inia kwenye kamba ya madaraka kwa cost ya aina yoyote .
  3. Escrowseal1

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Tume imetambua vifo 518 wakati wa maandamano ya Mo29. Wamekiri, watatokaje?

    Na hasa mama wa waharifu kasharukwa na akili tayari.
  4. Escrowseal1

    JamiiForums Tanzania Video: Haya ndo mahandaki wanayowekwa watu weusi huko Israel

    Sasa mbona hujabandika la jews
  5. Escrowseal1

    JamiiForums Tanzania Wananchi hasa CHADEMA mkiingia mkenge wa Nchimbi mmekwisha

    Nimeona wengi wa wananchi wakipongeza kauli ya Nchimbi kuhusu conflicts za vyama. Na hii ndo kawaida ya wanongo kuingia king kwa Mkono wa kushoto. Binafsi napinga maana kama ni kelele zilipigwa za kutosha kabla ya uchanguzi na mtu yeyote mpenda haki huo ndo ulikuwa muda muafaka wa kusimama na...
  6. Escrowseal1

    JamiiForums Tanzania Ijue Taasisi ya Madrid Bar Association waliomshitaki Samia ICC

    Kabudi atakavyotumbua ile mi macho sasa kama yale magari ya bedford ya zamani yaliyokuwa yanasomba kahawa
  7. Escrowseal1

    JamiiForums Tanzania Ijue Taasisi ya Madrid Bar Association waliomshitaki Samia ICC

    Chura nwenyewe analijua hilo ndo maana kwenye maji hakai wala shimoni. Ngoma ngumu we sela ICC procedures zao ni za kuvuta miguu ni hawakurupuki mir ningekuwa chura ningejifunza kukaa juu ya mti
  8. Escrowseal1

    JamiiForums Tanzania Rais Samia anza kuandaa mlio utakaolia baada ya kuachia Ikulu

    Kajielimishe wewe Tanga iliacha lini kuwa jiji
  9. Escrowseal1

    JamiiForums Tanzania Rais Samia anza kuandaa mlio utakaolia baada ya kuachia Ikulu

    Kwani yeye Raisi wa mchongo ni kichuguu haoni. Suala la kuchinja na kula nyama za watu nako mpaka ushauriwe kweli?
  10. Escrowseal1

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Samia hajatambuliwa kama Rais aliyechaguliwa na wananchi, wenzie waliochaguliwa na wananchi wametambuliwa kwenye mkutano wa AU

    Wewe ulimaliza la saba kweli? This is amounting to her exit . Home unaona kakataliwa na kila anapoenda akataliwe unadhani hiyo kahaba wako atafanya kazi na nani ? Do you know why wanatafutabkukubalika hata kwa pesa ? Oooh may be this is abstract to you . Kula chuma
  11. Escrowseal1

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Samia hajatambuliwa kama Rais aliyechaguliwa na wananchi, wenzie waliochaguliwa na wananchi wametambuliwa kwenye mkutano wa AU

    Wewe ni Tui la nazi ama kitu kingine . Unamchamba mwenzio huku hata hujui maana ya incumbent president. Kati ya waliotajwa na huyo unaemtetea ni yupi incumbent. Kabla kujibu ujitambulishe kwanza we ni tui gani pls
  12. Escrowseal1

    JamiiForums Tanzania Naibu Mwendesha Mashtaka wa ICC akutana na Thabit Kombo, Waziri wa Mambo ya Nje wa Tanzania

    Kunguru hafugiki . Huyu bi msumi alijitahidi kuihadaa jumuiabyabkimataifa akang’aa ng’aa mwisho kaharibu kali ya hewa mazima to the point of no return . GBP exchange rate imegonga 3500 ilikuwa haivuki 3000 which means tuko njia ya zimbabwe one way bila kugeuka
  13. Escrowseal1

    JamiiForums Tanzania Naibu Mwendesha Mashtaka wa ICC akutana na Thabit Kombo, Waziri wa Mambo ya Nje wa Tanzania

    Hilo Bumunda linavyoongea broken kinge nahsi linamtia hasira hadi kusaidia ku speed up the rate of chemical reaction
  14. Escrowseal1

    JamiiForums Tanzania Naibu Mwendesha Mashtaka wa ICC akutana na Thabit Kombo, Waziri wa Mambo ya Nje wa Tanzania

    Hakiyanani utanikuta counter nahudumia
Back
Top Bottom