Recent content by Escrowseal1

  1. Escrowseal1

    Mwananchi waomba radhi baada ya wananchi wengi kupiga kura ya kuridhishwa na Sera za Uchumi za Magufuli dhidi ya marais wengine

    Hata wangetwist wakasema ugly vs beautiful /handsome chuma kitapindua meza dadeki
  2. Escrowseal1

    Serikali Ijenge Daraja Kuunganisha Tanzania na DRC Kupitia Ziwa Tanganyika (Karema-Moba Au Lagosa-Kalemie)

    Unakijua kina cha ziwa wewe . Maana ni high tech inatakiwa
  3. Escrowseal1

    Mchango wa Ester Matiko Bungeni na Reaction ya Serikali na kiongozi wa Bunge inaumiza na kusononesha

    Sikiliza clip kabla yankuropoka. Esta hakukalizia hapo bali aliishauri serikali kuweka mpango mzuri wa ardhi . Wananchi wapangwe ili jifadhi iwe hifadhi na malisho yawe malisho . Tumefikishwa japa na watu kama wewe mnao comment kutafuta teuzi . Mtu kama wewe unamaliza oxygen bure
  4. Escrowseal1

    Mchango wa Ester Matiko Bungeni na Reaction ya Serikali na kiongozi wa Bunge inaumiza na kusononesha

    Preamble : jamaa mmoja ughaibuni alikamatwa na polisi akisingiziwa na mkewe kuwa kampiga. Pamoja na kusingiziwa polisi na mwendesha mashtaka walihakikisha anapelekwa mahakamani japo hakuna ushahidi. Wakati aki deal na polisi kuhusu kesi walimwambia kuwa hata kama hakuna ushahidi ni lazima...
  5. Escrowseal1

    Kamati ya kuombea msamaha watuhumiwa wa report ya CAG wamemaliza kazi

    Hii ndo inaifanya CCM iwe CCM . Ndo utamaduni . Babu mwizi mpaka kitukuu yaani ukoo wa panya . As a Nation we are f****d up. Inatia hasira
  6. Escrowseal1

    TANZIA Gardner G Habash mtangazaji wa Clouds Media afariki dunia

    Kutumia magari kunapunguza kufanya mazoezi .ni moja ya mambo yanayopelekea haya matatizo ya moyo
  7. Escrowseal1

    Nini kimefanya bunge lipoteze mvuto?

    baada ya kuruhusu uuzaji wa bandari lilijivua gamba na kuitwa genge
  8. Escrowseal1

    Shilingi ya Kenya inaimarika sana dhidi ya Dola ya Marekani. Vipi kuhusu Shilingi ya Tanzania?

    BBC wametoa report pia kuwa pesa inayoimarika chini ya jangwa la sahara ni ya Kenya tu
  9. Escrowseal1

    Hivi ni kweli alama za viganja vya mtoto ni lazima zifanane na za baba yake

    Si kweli. Kama unesoma genetics hilo ndio ninsuala la urithi mtoto akirithi sinlazima acopy exactly mama ama baba so kuna bi element anaweza chukua bilivyojificha kwa kati ya wazazi wawili . Jifunze crossing za genetics
  10. Escrowseal1

    Askofu KKKT: Rais Samia aitwe Mama wa Taifa

    Ni aibu sana kuidumbukiza taasisi nzima kwenye dimbwi la uchawa
Back
Top Bottom