Recent content by Escrowseal1

  1. Escrowseal1

    Wananchi hasa CHADEMA mkiingia mkenge wa Nchimbi mmekwisha

    Nimeona wengi wa wananchi wakipongeza kauli ya Nchimbi kuhusu conflicts za vyama. Na hii ndo kawaida ya wanongo kuingia king kwa Mkono wa kushoto. Binafsi napinga maana kama ni kelele zilipigwa za kutosha kabla ya uchanguzi na mtu yeyote mpenda haki huo ndo ulikuwa muda muafaka wa kusimama na...
  2. Escrowseal1

    Ijue Taasisi ya Madrid Bar Association waliomshitaki Samia ICC

    Kabudi atakavyotumbua ile mi macho sasa kama yale magari ya bedford ya zamani yaliyokuwa yanasomba kahawa
  3. Escrowseal1

    Ijue Taasisi ya Madrid Bar Association waliomshitaki Samia ICC

    Chura nwenyewe analijua hilo ndo maana kwenye maji hakai wala shimoni. Ngoma ngumu we sela ICC procedures zao ni za kuvuta miguu ni hawakurupuki mir ningekuwa chura ningejifunza kukaa juu ya mti
  4. Escrowseal1

    Rais Samia anza kuandaa mlio utakaolia baada ya kuachia Ikulu

    Kajielimishe wewe Tanga iliacha lini kuwa jiji
  5. Escrowseal1

    Rais Samia anza kuandaa mlio utakaolia baada ya kuachia Ikulu

    Kwani yeye Raisi wa mchongo ni kichuguu haoni. Suala la kuchinja na kula nyama za watu nako mpaka ushauriwe kweli?
  6. Escrowseal1

    Tetesi: Samia hajatambuliwa kama Rais aliyechaguliwa na wananchi, wenzie waliochaguliwa na wananchi wametambuliwa kwenye mkutano wa AU

    Wewe ulimaliza la saba kweli? This is amounting to her exit . Home unaona kakataliwa na kila anapoenda akataliwe unadhani hiyo kahaba wako atafanya kazi na nani ? Do you know why wanatafutabkukubalika hata kwa pesa ? Oooh may be this is abstract to you . Kula chuma
  7. Escrowseal1

    Tetesi: Samia hajatambuliwa kama Rais aliyechaguliwa na wananchi, wenzie waliochaguliwa na wananchi wametambuliwa kwenye mkutano wa AU

    Wewe ni Tui la nazi ama kitu kingine . Unamchamba mwenzio huku hata hujui maana ya incumbent president. Kati ya waliotajwa na huyo unaemtetea ni yupi incumbent. Kabla kujibu ujitambulishe kwanza we ni tui gani pls
  8. Escrowseal1

    Naibu Mwendesha Mashtaka wa ICC akutana na Thabit Kombo, Waziri wa Mambo ya Nje wa Tanzania

    Kunguru hafugiki . Huyu bi msumi alijitahidi kuihadaa jumuiabyabkimataifa akang’aa ng’aa mwisho kaharibu kali ya hewa mazima to the point of no return . GBP exchange rate imegonga 3500 ilikuwa haivuki 3000 which means tuko njia ya zimbabwe one way bila kugeuka
  9. Escrowseal1

    Naibu Mwendesha Mashtaka wa ICC akutana na Thabit Kombo, Waziri wa Mambo ya Nje wa Tanzania

    Hilo Bumunda linavyoongea broken kinge nahsi linamtia hasira hadi kusaidia ku speed up the rate of chemical reaction
  10. Escrowseal1

    Wazee anayejua mganga mzuri, nimeibiwa tofali zangu site

    Kwa hiyo akili ya kuamini kwa waganga lazima wakuibie aisee
Back
Top Bottom