Recent content by ESAM

  1. E

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Daah very sad indeed, poleni sana ndugu zetu Wakenya kwa msiba mkubwa
  2. E

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    We Airbus A320 neo ukiweka order leo itachukua muda mrefu sana kuipata maana ndo ndege yenye order nyingi katika historia ya aviation, tujinunulie B737 Max ambayo nayo yana changamoto zisizoisha
  3. E

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Please find the ranking of Muhimbili and Nairobi in the list: Click each institution to view its full World University Rankings 2024 results Africa Rank 2024 World University Rank 2024 World University Rank 2023 University country 1 167 160 University of Cape Town South Africa =2 301–350...
  4. E

    Mishahara imechelewa kutoka, walimu wana maisha magumu sana

    acha uongo wewe walimu waliishapata zamani
  5. E

    Mishahara imechelewa kutoka, walimu wana maisha magumu sana

    Ndo hivyo mzigo umeingia kuanzia jioni mpaka usiku huu. Huu uzi unakufa
  6. E

    Mishahara imechelewa kutoka, walimu wana maisha magumu sana

    Yaani serious kabisaa, bado mkuu mpaka muda huu kimyaaa
  7. E

    Mishahara imechelewa kutoka, walimu wana maisha magumu sana

    Kulikuwa na shida kwenye mfumo wa ulipaji serikalini (MUSE) tangu mwishoni mwa wiki iliyopita nahisi mpaka sasa haujakaa sawa labda ndo sababu. Maana hata malipo ya ndani kwenye mashirika nayo yamekwama kwa sababu ya mfumo. Sidhani kama ni kwa sababu ya serikali kukosa fedha ya kulipa
  8. E

    Mishahara imechelewa kutoka, walimu wana maisha magumu sana

    Hujui lolote ni wa kuhurumiwa tu
  9. E

    Mishahara imechelewa kutoka, walimu wana maisha magumu sana

    Hebu twambie ni sheria gani na kufungu gani cha sheria hiyo kinasema mshahara unatakiwa kutoka mwisho wa mwezi? Na je kama uliopita ulitoka tarehe 22 Septemba, mwisho wa mwezi kwako ni tarehe ngapi? Tatizo wengine humu mnajifanya wajuaji kumbe zero kabisa
  10. E

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    No bila mlango kufunguliwa wangekufa wengi maana maji yaliingia ndani mara ndege ilipoanguka
  11. E

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    No bila mlango kufunguliwa wangekufa wengi maana maji yaliingia ndani mara ndege ilipoanguka
  12. E

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Of course all big cities are like that even Dar can have more people if you refer to wider area, but countywise and regionwise, Nairobi (4.397) and Dar (5.383)
  13. E

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Ndugu tumia akili kidogo basi kinachofanyika Ngorongoro sio sawa, kama kweli kuna wakenya walikuwa wanaingia wangechukua hatua kuwazuia ili shughuli ziende vizuri. Suala la kuwahamisha sio sawa ni muhimu kuhakikisha wanaendelea kuishi kwa amani na wanyama
  14. E

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    This is a very nice move by Kenyan Maasai brethrens to stand in defence of their counterpart in Tanzania, very inspiring indeed
  15. E

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Mbona kuna Mh. Rais Samia, Mh. Liberatha Mulamula na Mh. Prof. Mbarawa hujawasema?
Back
Top Bottom