Recent content by ESAM

  1. E

    Kesi ya Lissu: Mahakama yatupilia mbali ombi la Jamhuri la kuongeza ushahidi

    Hahahahaaa kweli yapo huko yanaokota makopo leo
  2. E

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    The Dreamliner on the way to Dar
  3. E

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Acheni upuuzi nyie Wakenya na Watanzania wa humu kwanini mnawadhalilisha viongozi wetu, jifunzeni kubishana kwa hoja, please please.......
  4. E

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Acheni upuuzi nyie Wakenya na Watanzania wa humu kwanini mnawadhalilisha viongozi wetu, jifunzeni kubishana kwa hoja, please please.......
  5. E

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Daah very sad indeed, poleni sana ndugu zetu Wakenya kwa msiba mkubwa
  6. E

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    We Airbus A320 neo ukiweka order leo itachukua muda mrefu sana kuipata maana ndo ndege yenye order nyingi katika historia ya aviation, tujinunulie B737 Max ambayo nayo yana changamoto zisizoisha
  7. E

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Please find the ranking of Muhimbili and Nairobi in the list: Click each institution to view its full World University Rankings 2024 results Africa Rank 2024 World University Rank 2024 World University Rank 2023 University country 1 167 160 University of Cape Town South Africa =2 301–350...
  8. E

    Mishahara imechelewa kutoka, walimu wana maisha magumu sana

    acha uongo wewe walimu waliishapata zamani
  9. E

    Mishahara imechelewa kutoka, walimu wana maisha magumu sana

    Ndo hivyo mzigo umeingia kuanzia jioni mpaka usiku huu. Huu uzi unakufa
  10. E

    Mishahara imechelewa kutoka, walimu wana maisha magumu sana

    Yaani serious kabisaa, bado mkuu mpaka muda huu kimyaaa
  11. E

    Mishahara imechelewa kutoka, walimu wana maisha magumu sana

    Kulikuwa na shida kwenye mfumo wa ulipaji serikalini (MUSE) tangu mwishoni mwa wiki iliyopita nahisi mpaka sasa haujakaa sawa labda ndo sababu. Maana hata malipo ya ndani kwenye mashirika nayo yamekwama kwa sababu ya mfumo. Sidhani kama ni kwa sababu ya serikali kukosa fedha ya kulipa
  12. E

    Mishahara imechelewa kutoka, walimu wana maisha magumu sana

    Hujui lolote ni wa kuhurumiwa tu
  13. E

    Mishahara imechelewa kutoka, walimu wana maisha magumu sana

    Hebu twambie ni sheria gani na kufungu gani cha sheria hiyo kinasema mshahara unatakiwa kutoka mwisho wa mwezi? Na je kama uliopita ulitoka tarehe 22 Septemba, mwisho wa mwezi kwako ni tarehe ngapi? Tatizo wengine humu mnajifanya wajuaji kumbe zero kabisa
  14. E

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    No bila mlango kufunguliwa wangekufa wengi maana maji yaliingia ndani mara ndege ilipoanguka
  15. E

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    No bila mlango kufunguliwa wangekufa wengi maana maji yaliingia ndani mara ndege ilipoanguka
Back
Top Bottom