We Airbus A320 neo ukiweka order leo itachukua muda mrefu sana kuipata maana ndo ndege yenye order nyingi katika historia ya aviation, tujinunulie B737 Max ambayo nayo yana changamoto zisizoisha
Please find the ranking of Muhimbili and Nairobi in the list:
Click each institution to view its full World University Rankings 2024 results
Africa Rank 2024
World University Rank 2024
World University Rank 2023
University
country
1
167
160
University of Cape Town
South Africa
=2
301–350...
Kulikuwa na shida kwenye mfumo wa ulipaji serikalini (MUSE) tangu mwishoni mwa wiki iliyopita nahisi mpaka sasa haujakaa sawa labda ndo sababu. Maana hata malipo ya ndani kwenye mashirika nayo yamekwama kwa sababu ya mfumo. Sidhani kama ni kwa sababu ya serikali kukosa fedha ya kulipa
Hebu twambie ni sheria gani na kufungu gani cha sheria hiyo kinasema mshahara unatakiwa kutoka mwisho wa mwezi? Na je kama uliopita ulitoka tarehe 22 Septemba, mwisho wa mwezi kwako ni tarehe ngapi? Tatizo wengine humu mnajifanya wajuaji kumbe zero kabisa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.