Mbunge wa jimbo la Iramba magharibu napenda kukushauri buuure kabisa, hao watu unaowaita wasaidizi wako ni mizigo na ni kero kwa wapiga kura wako na watanzania kwa ujumla.
Wanafanya kazi ya kukuridhisha wewe na kusahau kwamba wanatakiwa kukusaidia wewe kukuunganisha na wananchi, hawana mikakati...
Wagombea wenzake ndani ya ccm wameendelea kupanic baada ya ushindi wa asilimia zaidi ya asilimia 90,JAIRO NA KILIMBA wameingia mitini mapema baada ya kuona hali ni tete..nipo jimboni nitaendlea kuwajuza.
Unaweza kusoma mpaka ukamaliza vyuo vyote ukarudi na kujifanya unabuni miradi,miradi yenyewe eti small scale agriculture.. Ha ha ha ha ha hii ndo bongo dsm
Bwana mwgulu omba ridhaa uwe na uchungu na walalahoi maskini kwa moyo wa dhati kabisa,vjana 2nahangaika mtaani uku,mnaleta maneno ya ku2fariji then mnatuacha hewani...inauma sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.