Nawasalimia wanajamvi Kwa jina la Mungu wetu mkuu(Yahweh).
Iliwahi nikuliwa juu ya kauli ya mwasisi wa Taifa letu hayati Julious kambarage Nyerere,ambapo alisema,tukitaka kupiga hatua kama Taifa tunatakiwa
Kuwa piga vita maadui zetu watatu (3) ambao ni Ujinga,maradhi na umaskini.
Leo...
Umeongea Kwa hisia sana lkn umeongea Ujinga.
Kwanz unazunguamzia wanaharakati ,ivi unaweza tuambia jukwaa la wanaharakati kufanyia harakt tofauti na ktk chama ktk nchi za kidemokrasia?.
Unasema CHADEMA inakufa.kwa namna Gani? Chadema ni watu siyo nembo na ofisi.ukitaka kulijua hili jiulize...
Zama zimebadilika bro.....
Angalia namna mapenzi sahizi yanavyo chukuliwq..........unakulaje pipi kifua demu ana wanaume zaidi ya 4,Fungus is real bro.
acha usenge piga tizi, acha kuangalia video za ngono ule ni usenge tu, tafuta marafiki wazuri watakao kushauri mambo positive, punguza kula fast food Kama chips, mayai mayai ili upunguze kilo.
usipokuwa makini utadhalilika mchana kweupe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hbr Wana jamvi........
Natumai mu wazima wa afya, Amen.
Leo naongea na wanaume wote lijali na ambao kesho wanahitaji kuwa na familia Bora yaani familia isiyo kuwa na kizazi Cha ovyo.
Najua mnajua juu ya janga lingine ambalo linaikumba dunia kwa sasa, janga hili htr la ushoga, usagaji na tabia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.