Recent content by Ernest 255

  1. Ernest 255

    Tanzania tumewekwa Level 4 ya Maambukizi na CDC. Mbona hatuwaambii Raia?

    Sisi watuache tupige jungu tupambane na Mungu wetu.
  2. Ernest 255

    Yupi mkali kati ya Rapper na MC?

    Kwa mimi nadhani MC ni msanii wa Hip Hop ambae anaweza kufreestyle kitu chochote hapohapo ambacho atambiwa a freestyle kwa wakati huo na mahali popote iwe kwenye interview or kwenye shows... mfano wa MC kwa Tanzania ni: Nikki mbishi, Marehamu Ngwea na GodZilla R.I.P... Fid Q , Nash MC nk...
  3. Ernest 255

    Chuo cha Uhasibu Arusha chadaiwa kudahili Wanafunzi wengi kuliko uwezo wake, wengine wasomea na kuishi Hoteli ya Ngurdoto

    Nilibahatika kufika hiyo Hotel kama mara mbili hivi,, tuache masihara umefanyika uwekezaji wa hali ya juu sana. Lazima ukifika pale kuna maswali utajiuliza juu ya maisha unayoishi na uchumi wako. Nadhani alichukua uamuzi wa haraka sana kuifanya hostel kwa hadhi yake ilivyo, ndani ya mwaka...
  4. Ernest 255

    Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

    Hapo ungesema hizo ni Taasisi ambazo baadhi ya watu wanalipwa vizuri,, sababu siyo wote wanalipwa vizuri usije ukaleta ugomvi na familia za watu ndugu.
  5. Ernest 255

    Kodi yangu ya nyumba imeisha tangia juzi namuona Mama Mwenye Nyumba hata salamu hana ushirikiano mzuri kabisa na mimi

    Company name: Mwika Freight & Logistics Ltd. Location : Uhuru street Ilala Dar es Salaam Call : 0718 454437
  6. Ernest 255

    Kodi yangu ya nyumba imeisha tangia juzi namuona Mama Mwenye Nyumba hata salamu hana ushirikiano mzuri kabisa na mimi

    Karibu sana mkuu,, office ipo Uhuru Street Ilala Dar es Salaam; Company name: Mwika Freight & Logistics Ltd... Au Call 0718 454437.
  7. Ernest 255

    Kodi yangu ya nyumba imeisha tangia juzi namuona Mama Mwenye Nyumba hata salamu hana ushirikiano mzuri kabisa na mimi

    Hahaha mkuu nimecheka sana,, mkuu kuna mambo yalikuwa hayaja kaa sawa ndio maana nikaofia kuweka jina kwanza lakini sasa tuko sawa,, Pesa nazo uwezi kuwa nazo kila wakati mkuu saa nyingine unaweza kulipia mizigo ya wateja ili kutopoteza wateja ukakuta huna hata mia.
Back
Top Bottom