was njombe
Member
- Sep 8, 2020
- 6
- 9
Salam Abubakar Kunenge Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam.
Naomba upige marufuku mabango ya waganga wa kienyeji walio weka barabara na mitaani, hii ni hatari tena ni uchafu wa jiji letu katika ardhi hii ya Tanzania.
Sauti yako mheshimiwa itakuwa ujumbe wa baraka katika utumishi wako. Pili hawa watu wamesababisha umaskini na watu hawafanyi kazi.
Sauti yako kila mmoja mwenye nia njema atakuheshimu. Hadhi ya jiji letu inapotea kwa sababu ya hawa Waganga.
Naomba upige marufuku mabango ya waganga wa kienyeji walio weka barabara na mitaani, hii ni hatari tena ni uchafu wa jiji letu katika ardhi hii ya Tanzania.
Sauti yako mheshimiwa itakuwa ujumbe wa baraka katika utumishi wako. Pili hawa watu wamesababisha umaskini na watu hawafanyi kazi.
Sauti yako kila mmoja mwenye nia njema atakuheshimu. Hadhi ya jiji letu inapotea kwa sababu ya hawa Waganga.