Ernest 255
Member
- Oct 7, 2020
- 42
- 27
Nilibahatika kufika hiyo Hotel kama mara mbili hivi,, tuache masihara umefanyika uwekezaji wa hali ya juu sana. Lazima ukifika pale kuna maswali utajiuliza juu ya maisha unayoishi na uchumi wako. Nadhani alichukua uamuzi wa haraka sana kuifanya hostel kwa hadhi yake ilivyo, ndani ya mwaka sidhani kama itakua na quality ile ile.