Recent content by ermokiwa

  1. E

    Nataka kuoa!!!!!!!!!

    kajipange kwanza kupokea maumivu then ndo uwe nae!!!
  2. E

    what true love is,,.

    wana jf da! nahisi labda sijajua mapenz yakwel ni yapi,what girls like?,what man like ,,kwanini mahuziano yanakua yakawaida kiivo yan kama kuigiziana kirahisi rahisi tu vile!me sijielewi labda nife alone madem wanazingua sijui utoto !!Ja!!so comfused nishaulini niwafanye nini madem ntakufa kwa...
  3. E

    when you need to be close with my heart

    I'm erick 21 years old nasomea takwim mzumbe ,I like friends who will care about me and show a true love at all of time to me,,when you are the one be with me my fellow.,
  4. E

    uefa ndoo yetu madrid

    madrid,,.da!kombe kama linanukia ivi, mi sioni kikwazo ila sijui ni barca vile,?au mnaionaje majembe yangu ya sports,, imekaa vipi apo!?
  5. E

    MMU nimefiwa

    pole sana....,
  6. E

    Msada wa to kwa wana jf

    mbona simple tu kufungua account nyingine arif,fanya ivo kama ajee.
  7. E

    Forum: mapenzi

    da!karibu jembe letu pamoja sana
  8. E

    hodi hodi hodi

    da!mbona sana tu karibu,salama lakini?
  9. E

    mifumo tcu kila kukicha inabadilika

    ivi ni ipi sababu hasa ya tcu kubadilisha mfumo mzima wa mature age entry kutoka chini ya utawala wa vyuo vikuu hapa nchini na kua chini yake? au kuna udanganyifu uliokua unaendelea vyuoni juu ya mtihani wa mature age entry?Nisaidieni kwa hilo ndugu zangu,from erick mzumbe universit morogoro.
  10. E

    ugeni wenu mpya wana Jf

    aje wana jf naitwa erick nipo chuo cha mzumbe,da!nimewuakubali wadau wa jf mnatisha kwa coment zenu,mpo juu.
  11. E

    music

    Ivi diamon rio ni mwanamuziki kutokea wapi na nyimbo zake ni za maadhi gan?
  12. E

    Natafuta mume wa mtu

    du!ila wenye mapenz ya kweli mbons wapo u.
Back
Top Bottom