Hizi kampuni zote za network markerting kama hiyo ya forever ni utapeli mtupu, wanafanya biashara zao kwa kulazimisha mtu kununua bidhaa bila kujali huyo mtu atapataje soko.
Kwanza bei za bidhaa zao ni kubwa ukilinganisha na bidhaa yenyewe, pia ni kwanini wampangie mtu kiasi cha bidhaa za...
Shida ya watanzania tuna ubinafsi na wivu, hivi na wewe hapo ulipochukulia huo umeme hakuna nguzo? pia kutoka huko kwenye chanzo cha umeme mpaka hapo ulipochukulia kuna nguzo ngapi? ungeambiwa ulipie na hizo nguzo ungejisikiaje?
Kwaiyo unachotaka na atakayeunganisha kwenye nguzo ambayo...
Watu wanasema tufanye mazoezi kwenye vviwanja wanashindwa kuelewa viwanja ni tambarare, Ukikimbia barabarani kuna milima na mabonde jambo ambalo ni zuri kuliko viwanja pia hata mazingira yanabadilika kwenye macho ubongo nao unafanya kazi zaidi.
Kikubwa ni kuchukua tahadhari tu kama
Kuepuka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.