Wanadam tunapenda sana kuongea kulingana na mitazamo yetu...huyu nae anawasilisha mtazamo wake kinafiki....wewe n nan yake Nabi mpka akuambie hayo au ulimsikia wapi..acha kukurupuka humu tumo watu wenye staha zetu..jenga hoja sio umbea🤨🤨
Mm naamini wakati wa matan ndo mtu anapitishia ukwel ndan yake .kumbuka utani n maneno ya mizaha ila yenye ukwel ndani yake......kuwa makin na matani ya watu wako wa karbu....huo ndo ukwel..🤨
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.