Recent content by Erickpaford

  1. Erickpaford

    Kocha Nabi wala Kaizer Chiefs hawawezi kumchukua wala kumtaka Fiston Mayele

    Wanadam tunapenda sana kuongea kulingana na mitazamo yetu...huyu nae anawasilisha mtazamo wake kinafiki....wewe n nan yake Nabi mpka akuambie hayo au ulimsikia wapi..acha kukurupuka humu tumo watu wenye staha zetu..jenga hoja sio umbea🤨🤨
  2. Erickpaford

    Nawaza ingekuwa Rais Samia ndio kasaini Mkataba wa SGR...

    Ilikuwa miradi yetu na haikuwa na terms za ajabu..Magu alikuwa smart sana💪
  3. Erickpaford

    Makanisa mengi hasa ya Kilokole ni Mradi wa Shetani

    Acha inyeshe kabisaa ..panapovuja patajulikana tu🤨
  4. Erickpaford

    Tunakumbushana tu

    Mm naamini wakati wa matan ndo mtu anapitishia ukwel ndan yake .kumbuka utani n maneno ya mizaha ila yenye ukwel ndani yake......kuwa makin na matani ya watu wako wa karbu....huo ndo ukwel..🤨
  5. Erickpaford

    Tunakumbushana tu

    Hakika ..lintokalo mtu ndo lililoujaza moyo wake🤨
Back
Top Bottom