Recent content by ErickjrJunior

  1. ErickjrJunior

    Chama cha Mapinduzi(CCM) wamtoa machozi Eric Shigongo, wamwambia kunywa maji

    Braza Mie Siamin Kma Ndie Shigongo Ninaemjua I See!! Kweli Maisha Ni "Siri"
  2. ErickjrJunior

    Makonda: Pale ofisini kwangu nina wasaidizi 120, lakini najivunia 4 tu, wengine ni mizigo..!

    Utajijua Tuu Upo Upande Gani.[emoji28] [emoji28]
  3. ErickjrJunior

    Nahisi nimetongoza jini

    Zaidi Ya Hilo, Kuna Dalili Nyingine Mbaya?? Binafsi Hata Mimi Napenda Movie Zenye Vitu Vya Ajabu, Kma Movie Za Hary Potter N.k Napenda Movie Ambazo Zinaonyesha Kitu Cha Kustaajabisha.
  4. ErickjrJunior

    Sijawahi kumuita mpenzi wangu 'demu', Je hili neno unalichukuliaje?

    Kwa Mimi Demu Linawakilisha Jinsi Ya Kike Ni Sawa Na Mshikaji Kwa Jinsia Ya Kiume. Zaidi Ya Hapo NinTafsiri Za Wengne.
  5. ErickjrJunior

    Tenda wema uende zako

    Unadhani Aitaleta Ugomvi??
  6. ErickjrJunior

    Tenda wema uende zako

    Kama Kipi Mkuu??
  7. ErickjrJunior

    Tenda wema uende zako

    Ww Unamfahamu Mpka Useme Nimemuanika?? Then Ulitaka Nikurupuke Tuu Kuanza Kumwambia?? Then Point Yangu Kubwa Si Kutafuta Kuyamaliza Na Huyu Jamaa Ila Nilitaka Watu Wajue Jinsi Binadamu Na Marafik Walivyo!! Yy Aniseme Weeeee...Its Ok!!!
  8. ErickjrJunior

    Tenda wema uende zako

    Ni Kweli Bro!
  9. ErickjrJunior

    Tenda wema uende zako

    Hili Ndio Nataka Nilianze Leo, Hayo Nmeyagundua Jana.
  10. ErickjrJunior

    Tenda wema uende zako

    Hilo Nalijua Mkuu, Na Mimi Siwez Gombana Na Mtu Kwa Ajili Ya Mwnaamke!!!
  11. ErickjrJunior

    Tenda wema uende zako

    Ila Hata Kma Ana Yake, Hivi Mkuu Mimi Nahusika Vipi Sasa?? Binafsi Sijawah Msema Wala Nn....Na Isitoshe Hata Huyo Binti Mwenywe, Sinaga Time Nae Na Hata Sielew Huyu Binti Namba Yangu Aliipataga Wapi?? Sikuwah Kukaa Nae Mahali Wala Kupga Nae Stori Zaid Ya Kufahamiana Na Salamu Basi!! Na Hata Kuna...
  12. ErickjrJunior

    Tenda wema uende zako

    Sijashindwa, Ila Nipo Kwenye Tafakuli.
  13. ErickjrJunior

    Tenda wema uende zako

    Huu msemo nimeamini sasa!! Japo nilikua nauamini, lakini sasa nimezidi kuuamini. Nimetoka Dar nimekuja mkoani kikazi, nyumba nayoishi pembeni kuna jirani nilietokea kupatana nae, na mimi kuja mtaa huu, imekua kama neema kwake. Kiukwel jamaa hayupo vizuri kimaisha hata ukimuangalia tuu utajua...
  14. ErickjrJunior

    Hizi Nyimbo

    Wakuu, Ni Wapi Naweza Download Hizi Nyimbo Za Old School?? 1.Rise To The Top_ Lost Boys 2. Ya Leo Kali_ Wachuja Nafaka 3. Mambo Ya Feza_ Mr.11 Nimezitafuta Sanaa Mitandaoni, Sijafanikiwa!! Kwa Anaejua Napoweza Zidownload Anisaidie.
Back
Top Bottom