Ni vugumu kuweka kaka list haikuwa uploaded online Bali Walituma kwenda halmashauri za wilaya husika ila ngoja nifanye juhudi nikiyapata Nita ya upload hapa mkuu...
Hapana ila Walitoa majina ya wafanyakazi halali waliohakikiwa lakini katika hayo majina tatizo ni kwamba baadhi ya wafanyakazi wao Hawamo lakini walishiriki katika zoezi Zima la kuhakikiwa na ikaonekana kama vyeti vyao havina shida kwani katika majina ya awali ya wenye vyeti feki pamoja na Yale...
Ni siku ya ijumaa serikali kupitia wizara husika ilamua kutoa orodha ya watumishi halali waliohakikiwa na majina Yao kubandikwa katika halmashauri za wilaya wanazofanyia kazi lakini jambo la ajabu ambalo limenifanya niandike uzi huu ni baada ya kupita katika halmashauri ya wilaya moja na...
Afu watu wengine bana... sasa kama umeziona ndo umeambiwa zimebandikwa na Viongozi wa Yanga? kwanza watu kama nyie ndo hamuitakii timu yetu mafanikio....
Nenda tu hatukutaki kwenye timu yetu!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.