Recent content by Erick B

  1. Erick B

    Nahitaji ushauri/msaada wa biashara ya karanga na masoko yake

    Habari mkuu... Naomba kupata mwongozo wa soko kidogo kwa ulipofikia
  2. Erick B

    Natafuta zabibu kavu na almonds toka Zanzibar

    Em tufikirie namna ya kuzilima almonds.. Ukipata data tu we nirushie swala la kulima niachie.. Sent using Jamii Forums mobile app
  3. Erick B

    Natafuta zabibu kavu na almonds toka Zanzibar

    Em tufikirie namna ya kuzilima almonds.. Ukipata data tu we nirushie swala la kulima niachie.. Sent using Jamii Forums mobile app
  4. Erick B

    Kilimo na soko la almonds

    Naombeni connection ya anayeuza mbegu miche ya Almond au mkoa gani zinakubali zaidi.. Sent using Jamii Forums mobile app
  5. Erick B

    Kuuliza sio ujinga, almond zinalimwa sehemu gani nchini?

    Zinalimwa Arusha maeneo gani..? Sent using Jamii Forums mobile app
  6. Erick B

    Lifahamu zao la Macadamia (Karanga Pori) na jinsi ya kulilima

    Kwa aliyefanikiwa kupata details na ufaham wa upatkanaji mbegu atupe mrejesho.. Sent using Jamii Forums mobile app
  7. Erick B

    Hivi wakuu useremala hapa mjini bado unalipa? Nataka kutoka kwenye ajira kuirudia fani yangu

    Inalipa ukija ki sasa.. Sijasomea ila naplan ya kuwekeza uko mwakani... kama vipi uwe partner..
  8. Erick B

    Biashara ya Kuonesha Mpira wa Miguu (Kibanda-umiza): Fahamu Kiasi cha Mtaji, Vifaa na Mbinu za Uendeshaji

    Njoo TZ kwanza tuonane live.. sasa zinazotangaza kwa kingereza inakuje.. zinapatkanaje
  9. Erick B

    Biashara ya Kuonesha Mpira wa Miguu (Kibanda-umiza): Fahamu Kiasi cha Mtaji, Vifaa na Mbinu za Uendeshaji

    pole man.. duu mi nmehisi ii kitu kabla sjaanza so vipi ulifanikiwa kufungua pengine.. ? bizi inaendaje
  10. Erick B

    Kiwanja kinakodishwa Arusha

    Ata ikiwa $ USD haiwezekani kuuza kaka. ni kukodi tu
  11. Erick B

    Kiwanja kinakodishwa Arusha

    Uwezekano hamna bro. karibu ikodi
  12. Erick B

    Kiwanja kinakodishwa Arusha

    ni kukodisha tu.
  13. Erick B

    Kiwanja kinakodishwa Arusha

    Kiwanja kipo Arusha majengo juu kituo miambo kunja kushoto kama mita 50, kuna maji umeme na rum kama 2 (zinaeza kua office au etc.) available. Kinafaa matumizi ya Garage, packing or other company activities. eneo limetulia na usalama wa kutosha- geti kubwa & fence, choo kiko karibu na lami (50m)...
Back
Top Bottom