its really terrible hapa manispaa ya Arusha. kumejaa sana na kelele za kila aina ikiwa ni pamoja na mavuvuzela. sijui kwanini huyu mama hataki kukubali kushindwa
Kwa mtazamo wangu, hawezi kabisa, ataipeleka nchi pabaya zaidi. hebu angalieni anavyozidi kutoa ahadi lukuki zisizotekelezeka!! Hata udiwani mi sidhani kama anauweza. Abaki tu kuwa kiongozi wa familia yake.
Mimi binafsi hili swala linanitatiza,
sijapata maeleao ya kunifanya nikaielewa hii mada, nimekuwa nikiisikia juu juu tu. Naomba mwenye kuielewa anijuze tafadhali
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.